Elections 2010 Huu Uchaguzi umesusiwa ??

Elections 2010 Huu Uchaguzi umesusiwa ??

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Yaani natazama international News kote naona sioni sehemu ambayo inautaja uchaguzi huu wa Tanzania ,upo wa Brazil,Upo wa Somali au wamesahau kama nasi leo WaTz wanachagua Raisi ,basi wafuate madini yetu tu ? Au wanasubiri tutumbuane matumbo na kutoana machango ?? Ndio watangaze ingawa BBC lakini hawatoi kwenye Intenational level !!!
 
everybody knows that this is not an election but rather an exercise to erect CCM leader.

Sijaona kwenye international news kwa week tatu mfululizo.
 
Yaani natazama international News kote naona sioni sehemu ambayo inautaja uchaguzi huu wa Tanzania ,upo wa Brazil,Upo wa Somali au wamesahau kama nasi leo WaTz wanachagua Raisi ,basi wafuate madini yetu tu ? Au wanasubiri tutumbuane matumbo na kutoana machango ?? Ndio watangaze ingawa BBC lakini hawatoi kwenye Intenational level !!!

Hawa huwa wanapenda sehemu zenye machafuko tu. Uchaguzi wenye amani sio nyuzi kwao...
 
Nilikuwa nawatch CCN apa nkaona hola nkaenda BBC nkaona hola.
Tz chini ya CCM tumefulia
 
Yaani natazama international News kote naona sioni sehemu ambayo inautaja uchaguzi huu wa Tanzania ,upo wa Brazil,Upo wa Somali au wamesahau kama nasi leo WaTz wanachagua Raisi ,basi wafuate madini yetu tu ? Au wanasubiri tutumbuane matumbo na kutoana machango ?? Ndio watangaze ingawa BBC lakini hawatoi kwenye Intenational level !!!


Hamtambuliki huko duniani!
 
unafikiri hata wao wanataka kusikia habari za CCM.....zimewachosha
 
Wazungu hawataki kusikia waafrika wamepiga kura kwa amani,kungetokea machafuko ungeona Tanzania kwenye TV zote za kimataifa.
 
Hawa huwa wanapenda sehemu zenye machafuko tu. Uchaguzi wenye amani sio nyuzi kwao...

But brazil hamna machafuko na still wanaripoti!mi nafikiri uchaguz wetu hauna mvuto!And its bcoz its not free and fair.Hata idadi ya waliojiandikisha imezidi idadi ya wenye umri kuanzia miaka 18 nchi nzima
 
Yaani natazama international News kote naona sioni sehemu ambayo inautaja uchaguzi huu wa Tanzania ,upo wa Brazil,Upo wa Somali au wamesahau kama nasi leo WaTz wanachagua Raisi ,basi wafuate madini yetu tu ? Au wanasubiri tutumbuane matumbo na kutoana machango ?? Ndio watangaze ingawa BBC lakini hawatoi kwenye Intenational level !!!

tumesusiwa mazima kwasababu ya utahaira wetu, kujisifu tu eti tumeleta heshima kubwa kwenye anga za kimataifa: uchaguzi huu ungetufaa sana kututangaza kimataifa tena bure kabisa
 
everybody knows that this is not an election but rather an exercise to erect CCM leader.

Sijaona kwenye international news kwa week tatu mfululizo.

To do what (erect?). Please consult your dictionary otherwise you deserve a ban!

Hapa watu wanasema Tanzania inaheshimika. Kwa lipi kutembeza kopo...hicho kitu kinanibore kweli kweli!
 
jamani wazungu wapo strait hawana longolongo na bongo ni longolongo kwa kwenda mbele ndomana awawataki mana wale wanapenda uwazi
 
Nilikuwa nawatch CCN apa nkaona hola nkaenda BBC nkaona hola.
Tz chini ya CCM tumefulia
CNN na BBC wametangaza kwa kifupi sana ... na wamesema CCM inakumbana na upinzani ambao haujatokea tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze...
 
Wanafikiri.................it is business as ususal lakini kesho wakiamka na kusikia yaliyomkuta JK na CCM yake watahamia hapa............they all love controversy, don't they?
 
Yaani natazama international News kote naona sioni sehemu ambayo inautaja uchaguzi huu wa Tanzania ,upo wa Brazil,Upo wa Somali au wamesahau kama nasi leo WaTz wanachagua Raisi ,basi wafuate madini yetu tu ? Au wanasubiri tutumbuane matumbo na kutoana machango ?? Ndio watangaze ingawa BBC lakini hawatoi kwenye Intenational level !!!

Tanzanians vote in presidential election - CNN.com
 
ni kweli ndugu zangu, hata mimi niko West Africa jioni hii ilikuwa na wenzangu tukiangalia Al Jazeera, CNN, BBC, SABC, CTVV lakini niliambulia aibu! Unajua leo pia ni uchaguzi mkuu wa Cote d Ivoire huo unatangazwa kila mara na station hizi! Tanzania ziiii umeshindwa kuuza jina la nchi. We angalia hata wanapotangaza hali ya hewa, hutaona jiji la Dar-Es-salaam, Kigali, Bujumbura, Lusaka, Mogadishu, Nairobi, Bamako n.k. wapo! Sisi tupo tupo tu! Haki ya mungu ukitaja TZ wanamkumbuka Julius K.N.! Yaani Tanzania inakumbukwa kwa ajili ya Mwalimu na si kitu kingine chochote!
 
Back
Top Bottom