Brightson brighton1
New Member
- Feb 16, 2023
- 4
- 1
Nina division 2.21, nina grade C masomo yote isipokuwa nina D ya Physics na F ya Math. Je, nikasome combi gani Advance?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wanalazimisha niende Advance ndo shida iyoKama ni mjanja nenda chuo achana na advance
Sasa HGE si hawata nipokea maana math nina FNenda chuo dogo; HGE au HGL au HKL ukimaliza tulia uchague kozi ya kusoma ile ambayo unahisi utaipenda zaidi.
Kasome HGL ama HKL tu achana na masomo ya hesabuNina division 2.21, nina grade C masomo yote isipokuwa nina D ya Physics na F ya Math. Je, nikasome combi gani Advance?
Usijaribu cbg, nenda kozi ya arts tuNenda CBG
Au Diploma koz za Afya
Jikite kwenye vishazi, virai na nomino,Nina division 2.21, nina grade C masomo yote isipokuwa nina D ya Physics na F ya Math. Je, nikasome combi gani Advance?