Aziz Ki Mayele
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 899
- 1,955
Kuku wameshakua wakubwa ila wanakuwa wanazubaa na kujikunyata namna hii halafu asubuhi unakuta wamekufa.. Nimepoteza kuku kama 18.
Hawafi mchana, utakuta tuu asubuhi wamekauka.
Hawafi mchana, utakuta tuu asubuhi wamekauka.