Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Kuna marafiki wamekuwa na tabia ya kufanya ujasiriamali mitandaoni...
Sasa wameshaniboa unakuta mtu unafungua insta yako uone walimwengu wanaselfikaje, alafu unakutana na mtu mmoja kajaza picha kama kumi hivi za biashara yake ya mabegi... Yani inabidi upite msitu mkali wa mabegi ndipo ufikie picha za marafiki.
Mwingine hivi majuzi kaniboa. Kajaza vichupi vya kina dada. Mpaka umalize kuperizui mtu unakuwa ushasimamisha kwa kuvuta picha jinsi kitumbua kinavyotuna mwanamke akivaa zile nguo.
Kwa kweli huyu aliniudhi na nikamu unfollow right away. Sasa amebaki huyu wa mabegi. Ni mtu ambaye tumezoeana kishkaji. Nashindwa nianzie wapi kumu unfollow maana anautumia vibaya uhusiano wetu kwa kunichafulia page yangu...
Basi kama una biashara yako. Kwa nini hayo mabegi ishirini usiyaweke kwa pamoja uyapige picha moja ili yule mwenye interest akufate inbox ndio uanze kumtumia picha moja moja!
Jamani hata kama ni bishara au ajira binafsi, msitumie vibaya urafiki tulionao...
Sasa wameshaniboa unakuta mtu unafungua insta yako uone walimwengu wanaselfikaje, alafu unakutana na mtu mmoja kajaza picha kama kumi hivi za biashara yake ya mabegi... Yani inabidi upite msitu mkali wa mabegi ndipo ufikie picha za marafiki.
Mwingine hivi majuzi kaniboa. Kajaza vichupi vya kina dada. Mpaka umalize kuperizui mtu unakuwa ushasimamisha kwa kuvuta picha jinsi kitumbua kinavyotuna mwanamke akivaa zile nguo.
Kwa kweli huyu aliniudhi na nikamu unfollow right away. Sasa amebaki huyu wa mabegi. Ni mtu ambaye tumezoeana kishkaji. Nashindwa nianzie wapi kumu unfollow maana anautumia vibaya uhusiano wetu kwa kunichafulia page yangu...
Basi kama una biashara yako. Kwa nini hayo mabegi ishirini usiyaweke kwa pamoja uyapige picha moja ili yule mwenye interest akufate inbox ndio uanze kumtumia picha moja moja!
Jamani hata kama ni bishara au ajira binafsi, msitumie vibaya urafiki tulionao...