Manfried JF-Expert Member Joined Oct 11, 2024 Posts 1,288 Reaction score 4,074 Nov 21, 2024 #1 Hapa DSM kila sehemu panajengwa , maghorofa yaliyokwama wakati wa magufuli sasa yanajengwa . Ukiwa haufanyi baishara au haupo Latina circle ya waliojipata hauwezi kuelewa namna hela inavyopatikana Kwa sasa
Hapa DSM kila sehemu panajengwa , maghorofa yaliyokwama wakati wa magufuli sasa yanajengwa . Ukiwa haufanyi baishara au haupo Latina circle ya waliojipata hauwezi kuelewa namna hela inavyopatikana Kwa sasa
mbongo_halisi JF-Expert Member Joined Apr 16, 2010 Posts 7,074 Reaction score 5,486 Nov 21, 2024 #2 Picha za ujenzi mkuu ili tuyajadili
D-Smart Member Joined Mar 23, 2023 Posts 77 Reaction score 204 Nov 21, 2024 #3 Hii thead inamekosa vitu vitatu tu 1. Ni Picha 2. Weka picha 3. Nakwambia wewe weka picha
K Kulwa Jilala JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 3,891 Reaction score 8,448 Nov 21, 2024 #4 Wanakopeshwa kwa lazima na mabenki