Huu ujenzi unaoendelea hapa Dar es Salaam unamaanisha uchumi umefunguka?

Huu ujenzi unaoendelea hapa Dar es Salaam unamaanisha uchumi umefunguka?

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Hapa DSM kila sehemu panajengwa , maghorofa yaliyokwama wakati wa magufuli sasa yanajengwa .


Ukiwa haufanyi baishara au haupo Latina circle ya waliojipata hauwezi kuelewa namna hela inavyopatikana Kwa sasa
 
Back
Top Bottom