Huu ujinga wa kimapenzi huwa unanipa raha sana

Satisfy

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
147
Reaction score
237
Natumaini wana JF mpo salama kwa uwezo wa Mwenenyezi Mungu

Kama heading inavosomeka, Mimi ktk suala la mapenzi huwa na ujinga wa vitu viwili kwa mwanamke wakati wa faragha.

1;Napenda natural body smell.

sisi binadamu huwa tuna unique body odor,yaan kila mtu huwa ana harufu ya asili ya mwili wake tofauti na mtu mwingine.

Wakati wa sex huwa sipendi mwanamke awe ananukia perfume napenda awe ana nukia harufu yake ya asili,kama alikuwa ame jipulizia manukato nipo radhi kumwambia tuoge kwanza ndo anipe mbususu.

Yaan huwa napata feeling nzuri sana ya kusex pia huwa inaniongezea umaridadi mno wa kula mbususu ipasavyo.

2;Napenda underwear zenye rangi nyeupe, purple na nyeusi.

Wakati tupo faraga nna huu ujinga wa kupendelea rangi za chupi,mwanamke kama amevaa chupi zenye rangi izo tatu,kwa upande wangu ni tayari ni vumbi la congo.

Hizo rangi huwa zina ni impress na kunipa amsha amsha ya kusex mara kwa mara.

Kwa mfano,baada ya kusex dem avae chupi kati yah izo rangi lazima mambo yaendele upya

Hii hali ilishakuwa kama ujinga kwangu,mpaka demu wangu mmoja alisha nijulia .
 
Huu ni uvuvi tu wa kutembeza dawa ya kuua wadudu warukao na watambaao
 
Namba moja tunafanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…