huyu bwana nae afanyiwe the same ili ajue maumivu yanakuwaje
hivi afrika tutaacha lini tabia ya kutawala wake na kuwaona kama chombo na sio binadamu?
wanawake msikubali kunyanyasika zama za kukaliwa kichwani na wanaume zimeshapita
sasa ni zama za usawa. huyu mhusika kwanza akatwe dudu yake ininginie ndo mengineyo yafuate kama mikono nayo ikatwe pia na mguu mmoja. kaniudhi sana.