Huu ulaji wa wali siuelewi

Huu ulaji wa wali siuelewi

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,180
Reaction score
1,964
Kuna style ya ulaji wali kwangu ni mpya. Mdau anatengeneza Tonge la wali na kuchovya kwenye mchuzi kama ugali halafu linapelekwa mdomoni.

Ulaji huu unasambaa sana kanda ya ziwa. Kama hujazoea ni changamoto kiasi hasa ukiwa mgeni wa kaya ambayo hutumia sahani moja wakati wa kula.
 
hii nchi ina mambo ya ajabu sana...,hadi namna ya kula wali inajadiliwa??



kaaaaazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom