Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo limetangaza viingilio vya mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika (AFCON) kundi G siku ya Jumatatu kati ya Tanzania dhidi ya Chad,
Viingilio vya mchezo huo vimegawanyika katika makundi matatu, ambapo kiingilio cha juu kitakua shilingi elfu ishirini na tano (25,000) kwa VIP A, na shilingi elfu ishirini (20,000) kwa VIP B, na kwa viti vya rangi ya bluu, kijani na orange itakua shiligi elfu tano (5,000).
Yaani Kutoka 5000-20,000 halafu 25,000 huwa sIelewi kabisa na matokeo yake unakuta watu wa 5000 wamejazana jukwaa la 20,000
HALAFU NAPE ULISEMNA TAREHE 9 ITAKUA MWISHO WA TIKETI ZA KUCHANA ZIWE ZA KIELEKTPRNIKI NA TAREHE IMEPITA UMEKAA KIMYA TU
NINA HASIRA SANA!!!
Viingilio vya mchezo huo vimegawanyika katika makundi matatu, ambapo kiingilio cha juu kitakua shilingi elfu ishirini na tano (25,000) kwa VIP A, na shilingi elfu ishirini (20,000) kwa VIP B, na kwa viti vya rangi ya bluu, kijani na orange itakua shiligi elfu tano (5,000).
Yaani Kutoka 5000-20,000 halafu 25,000 huwa sIelewi kabisa na matokeo yake unakuta watu wa 5000 wamejazana jukwaa la 20,000
HALAFU NAPE ULISEMNA TAREHE 9 ITAKUA MWISHO WA TIKETI ZA KUCHANA ZIWE ZA KIELEKTPRNIKI NA TAREHE IMEPITA UMEKAA KIMYA TU
NINA HASIRA SANA!!!