Huu uswahiba na IKULU...



walikuwa kwenye kampeni ya ndani ya kumpitisha mh. kikwete
 
kula na JK haimaanishi kumpigia kura....wanaweza wakamtosa wote hao coz kura ni siri ya mtu...JK oyeeee.
 
kula na JK haimaanishi kumpigia kura....wanaweza wakamtosa wote hao coz kura ni siri ya mtu...JK oyeeee.
...Usishangae katika hao wasanii hakuna hata mmoja aliyejiandikisha kwenye daftari ya wapiga kura....sasa sijui kama ndio kumtosa kwenyewe JK!!😛ound:😛ound:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…