Huu utafiti ni wa ukweli.

Tidito L

Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
97
Reaction score
16
Katika % kubwa ya wanawake ambao hawajaolewa wanaopenda hela sana mara nyingi akishaolewa ni mwanamke wa kujua kutafuta maendeleo na kusaidia kuendesha familia pasipo hitaji tegemezi. Hii ni tofauti na wale wanaojifanya watakatifu kwamba wana huruma.
Sina maana kwamba labda wanatumia illegue way kuzipata.
Ushauri wangu kama hujaoa, oa mke wa hivyo ijapokuwa utaumia mwanzoni mwa uchumba wenu ila 4sure kama anakupenda,maisha yako utayapenda mwenyewe.
Achana na mademu wanaojifanya hawapendi hela.
 
Napenda trend ya siku hizi! Wanaume wanaanza kutukubali jinsi tulivyo; sijui hawana machaguo (kutokana na no ya 'nice gjrls' kupungua) au wako attracted na 'bad girls' zaidi kuliko nice girls!
 
Ngoja nije kwanza maana . . .
 
Ah! huwezi jua kwa sababu leo weekend inawezekana kabisa hii thread imeuploadiwa toka bar ambako ndiko utafiti ulikofanyiwa and basicaly those are hangouts of gold diggers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…