ngundusi kwetu
Member
- Oct 8, 2014
- 5
- 0
Habari ndugu wana-Jf!
Naombeni kuuliza kuwa,huu utaratibu kwa wajumbe wa nyumba kumi/serikali za mitaa kutoza Tsh/= 2,000 hadi 5,000 kwa barua moja kwa wananchi wanaohitaji huduma hiyo, ni utaratibu halali ambao upo kisheria?na kama ni halali,mapato na matumizi ya hizi hela yanajulikana na wananchi wa maeneo husika?
Tafadhari, naombeni majibu ya haya maswali,ndugu mana-Jf!
Ahsante!
Naombeni kuuliza kuwa,huu utaratibu kwa wajumbe wa nyumba kumi/serikali za mitaa kutoza Tsh/= 2,000 hadi 5,000 kwa barua moja kwa wananchi wanaohitaji huduma hiyo, ni utaratibu halali ambao upo kisheria?na kama ni halali,mapato na matumizi ya hizi hela yanajulikana na wananchi wa maeneo husika?
Tafadhari, naombeni majibu ya haya maswali,ndugu mana-Jf!
Ahsante!