Katika utaratibu wa kawaida huwezi kuingia kwenye ndege bila barakoa. Huu niutaratibu mzuri sana ambao tumeuzoea tu. Cha kuchekesha hapo ni kwamba baada ya kufika juu, abiria mneletewa chakula na barakoa zote zinavuliwa na maisha yanakuwa kama kawaida.
Kujulikana tuu huo ugonjwa na kuupa jina ni tafiti tosha au unataka tafiti ipi watu wanasafiri waliopimwa rapid test ila kwa muda ule wanakua hawajaonesha dalili za huo ugonjwa ambao baada ya siku kadhaa kama mtu abiria anao ataonyesha dalili...barakoa na usafi wa mikono vinasaidia sana kujikinga na Covid 19...Sipingi barakoa ila naona watu wana imani kubwa kwa kujikinga na maambukizi ya corona kwa kuvaa barakoa kiasi kwamba unaweza kudhani imani yao hiyo inasapotiwa na tafiti za kisayansi.
Sasa urakulaje na barakoa?Katika utaratibu wa kawaida huwezi kuingia kwenye ndege bila barakoa. Huu niutaratibu mzuri sana ambao tumeuzoea tu. Cha kuchekesha hapo ni kwamba baada ya kufika juu, abiria mneletewa chakula na barakoa zote zinavuliwa na maisha yanakuwa kama kawaida.
Kuna barakoa flani hapo mbele mdomoni unabonyeza panafunguka unatupia msosi,haŕafu panajifunga...nadhani hizi zingewafaa nyie wapanda ndege.Katika utaratibu wa kawaida huwezi kuingia kwenye ndege bila barakoa. Huu niutaratibu mzuri sana ambao tumeuzoea tu. Cha kuchekesha hapo ni kwamba baada ya kufika juu, abiria mneletewa chakula na barakoa zote zinavuliwa na maisha yanakuwa kama kawaida.
Ni ushahidi gani wa kisayansi wenye kusapoti kuwa hizi mask za kawaida tunazovaa zinasaidia kujikinga na corona?Kujulikana tuu huo ugonjwa na kuupa jina ni tafiti tosha au unataka tafiti ipi watu wanasafiri waliopimwa rapid test ila kwa muda ule wanakua hawajaonesha dalili za huo ugonjwa ambao baada ya siku kadhaa kama mtu abiria anao ataonyesha dalili...barakoa na usafi wa mikono vinasaidia sana kujikinga na Covid 19...
Hao wa kuvalia barakoa kidevuni au kuziba mdomo tu na kuacha pua wako wengi, huwa wananishangaza hata sijui kwanini hubeba barakoa nyumbani na kwenda kuishia kuzivalia kidevuni.Si kwenye ndege tu .kwenye mikutano unakuta theruth tatu wamezishia kwenye kidevu