Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Nimekuwa nafadhaika mno kwa kusikia timu inapofanikiwa kucheza ligi kuu hapa nchini inabadili jina.
Utakuta timu imepigana kwa jina lake halisi inapofuzu tu kuingia ligi kuu unasikia inabadilishwa jina na pengine kutamkwa Kiinglishi.
Nashauri utaratibu huu urekebishwe.
Utakuta timu imepigana kwa jina lake halisi inapofuzu tu kuingia ligi kuu unasikia inabadilishwa jina na pengine kutamkwa Kiinglishi.
Nashauri utaratibu huu urekebishwe.