Punguza ghadhabu mkuu.Huo mfadhaiko wako ni wa kujitakia. Maana timu haikuhusu, wamiliki wake wameamua kuibadilisha jina kwa sababu zao binafsi! Ikiwemo umiliki, udhamini, ufadhili, nk!
Wewe unafadhaika na kughadhabika!! Bila shaka utakuwa na tatizo mahali.
Na kama umechukizwa sana na huo utaratibu, basi na wewe anzisha timu yako ya mfano! Halafu ipambanie ipande mpaka ligi kuu! Na ikifika katika hiyo hatua, iache tu ibakie na jina hilo utakalo litumia kuanzia pale ulip ianzisha! And no one will ask you for anything.
Hapana mkurugenzi. Mimi sina ghadhabu. Sema ninakuonea tu huruma kutokana na huo mfadhaiko unaopitia.Punguza ghadhabu mkuu.
Hiyo ni biashara mtu anaipandisha timu kisha anaiuza kwahyo aliyeinunua anabadilisha jina mfano DTB ilivyopanda tu ikauzwa na kuitwa Singida Big stars na hadi makao makuu ya club yakahamaPunguza ghadhabu mkuu.
Mfano, Kitayose nasikia inabadilishwa jina kwa kuiita Tabora United ambayo ipo tayari ina imeshindwa kupanda daraji.
Sasa jiulize historia ya Kitayose itaishia wapi?
Kolo yenyewe ilikuwa Ina itwa SunderlandBila shaka we ni kolo?
Wabongo bhana sasa unaumia kitu gani?Nimekuwa nafadhaika mno kwa kusikia timu inapofanikiwa kucheza ligi kuu hapa nchini inabadili jina.
Utakuta timu imepigana kwa jina lake halisi inapofuzu tu kuingia ligi kuu unasikia inabadilishwa jina na pengine kutamkwa Kiinglishi.
Nashauri utaratibu huu urekebishwe.