johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Afadhali Mzee Wassira yeye hakuwepo kabisa ofisi za CCM hivyo ni mtu mpya
Sasa utakuta mtu alikuwa Makamu Mwenyekiti Kwa mfano sasa Cheo kimepanda Kawa Mwenyekiti kamili na yeye anaenda kuripoti upya ofisini Kwa Maandamano
Msajili wa Vyama Vya siasa aliangalie hili linatuletea changamoto sana Tanganyika na Unguja
Ahsanteni 🐼
Sasa utakuta mtu alikuwa Makamu Mwenyekiti Kwa mfano sasa Cheo kimepanda Kawa Mwenyekiti kamili na yeye anaenda kuripoti upya ofisini Kwa Maandamano
Msajili wa Vyama Vya siasa aliangalie hili linatuletea changamoto sana Tanganyika na Unguja
Ahsanteni 🐼