Huu utumbo wa ma_miss hadi lini?

adakiss23

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
4,732
Reaction score
4,901
Nasikiliza tbc taifa hapa. Wanamuhoji mshindi wa miss utalii. Yaani hajui chochote kuhusu tanzania. Anasema ataenda kushiriki miss utalii dunia n ataimba nyimbo za utamaduni. Mtangazaji anampa nafasi aimbe japo kidogo anachekacheka na haimbi. Ikiwa na maana hajui. Anasingizia sauti hana ile ya kuimba. Bado mtangazaji anamsisitiza aimbe japo kiitikio lakini ameshindwa. Huu ni ujinga bora hizo fedha zifanye mambo mengine ya msingi kuliko kuwekeza kwa vilaza kama hao.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Fesha!!!?? na wewe una tofauti gani nao!??
 
kapitishwa anawaza jinsi ya kutoa takrima
 
Viongoz wenyewe wa nchi hawajielew atajielewa yeye pamoja na wew?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwan zile nanii za pichu zimeisha tz?ama ni korogwe tu.
 
Hii biashara ya miss TZ haitaisha maana ni chuo cha kuandaa malaya wa wanasiasa na matajiri. mimi mwenyewe nilimla namba 3 wa two years ago. Alikuwa mtamu sana
 
Hii biashara ya miss TZ haitaisha maana ni chuo cha kuandaa malaya wa wanasiasa na matajiri. mimi mwenyewe nilimla namba 3 wa two years ago. Alikuwa mtamu sana


Wewe ni mwanasiasa au tajiri,kama ni mmoja wa hao niliokuuliza naomba tuwasiliane kuna biashara ninataka kuwekeza,, kitu
 
mkuu kusikiliza interview za mamiss na mabongo movie unajitafutia hasira zisizo na mpango.
 
Hii biashara ya miss TZ haitaisha maana ni chuo cha kuandaa malaya wa wanasiasa na matajiri. mimi mwenyewe nilimla namba 3 wa two years ago. Alikuwa mtamu sana

Jina lake ni nani?
Na wewe ni mwanasiasa?
Au wewe ni tajiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…