Huu wimbo wa Zuwena unautakia nini huu utawala?

Kwitogelo

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2023
Posts
310
Reaction score
442
Mdogoangu Chibu umeyakanyaga kwa hasira zako za kupigwa moja pointi saba bilioni na wewe ukaamua kuwasema kiaina hivi na kusahau kwamba na huko utawalani kuna watu wenye miakili mingi kama wewe au hata wakakuzidi kabisa kiakili?

Anyway, umetuwakilisha vizuri sisi walala hoi kumsema Zuena huenda akaacha kujichubua na kuzitunza vizuri mali za urithi.

Nakushauri andaa vizuri na mapema kabisa wanasheria wako.
 
Acha uboya na Majungu dogo

USSR
 
Nitajie wawili tu ktk hii serikali wanao mzidi Lissu Akili
 
I'm standing with Chibu, CCM under Samia, tunatia huruma. Hivi umeme wa REA bei gani? Magustino aliwezaje kufanya 27k?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…