Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hichi kitu huwa kinanishangaza sana ikitokea mtu ukiwa unapost habari kuhusu wasanii watu wanakuita mbeya lakini ukitoa habari za wanasiasa hauitwi mbeya , tuchukulie mfano juzi magufuli alienda kumjulia hali mkewe hospitali ile habari ililetwa humu na kujadiliwa bila kujali kwamba suala hilo ni maisha binafsi ya magufuli na mkewe LAKINI nina uhakika habari hiyo hiyo ingeletwa mfano Diamond ameenda hospitali kumjulia hali Zari ,mtoa mada angeitwa mbeya ,sasa nataka mnifahamishe tatizo ni nini?
Pia ikitokea mwanasiasa hajahudhuria sherehe au msiba wa mwanasiasa mwenzake hii habari ikiletwa humu haitaonekana ya kimbea lakini kama msanii hajahudhuria msiba wa msanii mwenzake au harusi ,hiyo habari ikiletwa humu utaitwa mbea mfano kipindi kile mpoki alivyokosa kuhudhuria harusi ya masanja na hiyo habari ikaletwa humu mleta mada alionekana ni mbea sana lakini labda ingekuwa hivi " Mh Hussein Bashe apata jiko lingine lakini swahiba wake HAMIS kigwangala hakuhudhuria harusi" hii habari isingeonekana ya kimbea
Najua watu wengine watakuja na hoja nyepesi wakidai wanasiasa ndio mhimili wa taifa hivyo wanapaswa kuzungumziwa muda wote
Pia ikitokea mwanasiasa hajahudhuria sherehe au msiba wa mwanasiasa mwenzake hii habari ikiletwa humu haitaonekana ya kimbea lakini kama msanii hajahudhuria msiba wa msanii mwenzake au harusi ,hiyo habari ikiletwa humu utaitwa mbea mfano kipindi kile mpoki alivyokosa kuhudhuria harusi ya masanja na hiyo habari ikaletwa humu mleta mada alionekana ni mbea sana lakini labda ingekuwa hivi " Mh Hussein Bashe apata jiko lingine lakini swahiba wake HAMIS kigwangala hakuhudhuria harusi" hii habari isingeonekana ya kimbea
Najua watu wengine watakuja na hoja nyepesi wakidai wanasiasa ndio mhimili wa taifa hivyo wanapaswa kuzungumziwa muda wote