Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
sijajua kama mada kama hii imeshawekwa humu au la. kama bado ni hivi, una rafiki yako, naye ana mwenza, mnapokwa nae anakuwa anawasiliana na mahawara zake kwa uhuru sana hata kukutana nao mkiwa nae. then mnaenda hadi kwa rafiki yako unamuona shemeji yako na kusikitika tu kwa yale anayofanya rafiki yako. hapo ni hatua gani ya kuchukua? kubaki kimya tu au kutafuta namna ya kumweleza shemeji? (hili liko kwa jinsia zote)