Huwa mnachukua hatua gani?

Huwa mnachukua hatua gani?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
sijajua kama mada kama hii imeshawekwa humu au la. kama bado ni hivi, una rafiki yako, naye ana mwenza, mnapokwa nae anakuwa anawasiliana na mahawara zake kwa uhuru sana hata kukutana nao mkiwa nae. then mnaenda hadi kwa rafiki yako unamuona shemeji yako na kusikitika tu kwa yale anayofanya rafiki yako. hapo ni hatua gani ya kuchukua? kubaki kimya tu au kutafuta namna ya kumweleza shemeji? (hili liko kwa jinsia zote)
 
Ukiona kitu kama hicho mwonye rafiki yako lakini usiwe ndio kimbelembele kuchonganisha.Utakuja kuonekana mbaya mwisho wa siku.Haya mambo ni magumu sana ndugu yangu!
 
Ukiona kitu kama hicho mwonye rafiki yako lakini usiwe ndio kimbelembele kuchonganisha.Utakuja kuonekana mbaya mwisho wa siku.Haya mambo ni magumu sana ndugu yangu!


Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, mapenzi ya watu yaguse kwa fimbo ya mbali kama unavyogusa nyoka.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, mapenzi ya watu yaguse kwa fimbo ya mbali kama unavyogusa nyoka.

unajua, unapokaa kimya hata wewe huwezi kujua unazungukwa na mtu, hasa ukitegemea enzi hizi za ukimwi. kama usingekuwepo ni bora
 
Mziwanda anachosema dada WoS ni kweli kabisa, onya kisha hakikisha unakata mguu kama ni rafiki yako na haonyeki jitahidi kujiweka mbali naye kwa sababu siku ya siku akijafichuliwa utaambiwa wewe ndo kuwadi!! USIJARIBU KUMWELEZA SHEMEJIO. Acha ataambiwa na wengine kwani huoni peke yako ndugu yangu na ukumbuke hakuna siri duniani.
 
Unatakiwa kuumpa full warning. Huwezi kuwa rafiki yake kama hamsaidiani katika ishu kama hizi. Unatakiwa uumpe warning kwamba aache na amuheshimu mwenzi wake ama sivyo itabidi urafiki wenu ukome au hata kumwambia huyu mwenzi wake. Huu ndo msaada unaoweza kumpa. Akichukia basi, akikubali fresh. Lakini wewe usikubali kuwa mfungwa wa matendo yake. Hadi wewe kuja kuandika hapa, ina maana hupendezwi na tabia yake hata kidogo. So do something about it. Urafiki hauna maana yeyote kama mnashirikiana katika maovu.
 
Unatakiwa kuumpa full warning. Huwezi kuwa rafiki yake kama hamsaidiani katika ishu kama hizi. Unatakiwa uumpe warning kwamba aache na amuheshimu mwenzi wake ama sivyo itabidi urafiki wenu ukome au hata kumwambia huyu mwenzi wake. Huu ndo msaada unaoweza kumpa. Akichukia basi, akikubali fresh. Lakini wewe usikubali kuwa mfungwa wa matendo yake. Hadi wewe kuja kuandika hapa, ina maana hupendezwi na tabia yake hata kidogo. So do something about it. Urafiki hauna maana yeyote kama mnashirikiana katika maovu.

nimekupata mzee, ila si mimi peke yangu. na wengine pia wapate huu ujumbe. haipendezi kucheat waziwazi hivyo
 
kikijalipuka ujue wewe ni accomplice na haman mwizi na accomplice...utakuwa umemsaidia katika kufanya maovu yake and u will be equally guilty...anza kujitoa mapema kwa kumwambia wazi kuwa anvyofanya sio vyema..tell him kuwa huwezi kuendelea na urafiki kama huu. ama nyote mwasaidiana jamani??

Juzi kwenye klabu moja jamaa mmoja alipigwa vibao na dada mmoja..kisa na maana.. alikuwa nid bestman kwa haruis yake huyo binti na mumewe.kumbe hata heshima hawana wanaleta vimada to the same club mpaka wakafumaniwa.si kasheshe iliyokuwa hapo!! jamaa alitiwa mangumi akalia kama mtoto..huyo dada naye pia yumo!! chunga yasije kufika na wewe!
 
Mziwanda,usijaribu kabisa kumweleza shemeji yako,kwanza unaweza kuonekana ni mchonganishi maana jamaa anaweza kumlainisha mke wake na maneno matamu halafu wewe ukaonekana unaleta uchonganishi kwenye ndoa ya watu,na kingine mwonye rafiki yako na umweleze wazi kuwa hupendezewi kabisa na hiyo tabia,mpe hasara za kutokuwa mwaminifu katika ndoa yake na pia jaribu kumwuliza maswali kama ikitokea mke wake akafanya hayo anayofanya yeye atajisikiaje? Na ukiona haelekei katika maonyo uliyompa its better ukaachana nae maana hamna sababu ya kuwa na rafiki mwenye tabia kama hizo.
 
sijajua kama mada kama hii imeshawekwa humu au la. kama bado ni hivi, una rafiki yako, naye ana mwenza, mnapokwa nae anakuwa anawasiliana na mahawara zake kwa uhuru sana hata kukutana nao mkiwa nae. then mnaenda hadi kwa rafiki yako unamuona shemeji yako na kusikitika tu kwa yale anayofanya rafiki yako. hapo ni hatua gani ya kuchukua? kubaki kimya tu au kutafuta namna ya kumweleza shemeji? (hili liko kwa jinsia zote)

Mziwanda ulishajiita mtu wa watu na sasa unameremeta ukiongeza sifa ya umbeya/uchonganishi mji si utakushinda?
 
Mziwanda ulishajiita mtu wa watu na sasa unameremeta ukiongeza sifa ya umbeya/uchonganishi mji si utakushinda?

kuna memba mmoja mgeni alinikoment na kusema huko uswazi kwao mtu wa watu ina maana 'mbaya' so nikaona isiwe tabu. hata hivyo si unaona ninameremeta hapo? halafu hiyo mada nimeleta tu kwani haya mambo yapo. ningetaka kusema ningesema juu kwa juu bila kuja humu jamvini. nadhani ni kwa faida ya wote
 
acheni kudanganyana!mapenzi ya watu wawili usiyaingilie bwana.wewe hujui wamekutana vipi,wana miikataba gani,wana matatizo gani,kwanini uweke kivuli chako?
 
mapenzi ya mambo mengi jamani, unaweza peleka neno likakurudia. Unapokuwa na rafiki kama huyo mweleze ukweli na ukeep distance nae hana faida kwako zaidi ya kuendelea kuona fyongo anazocheza.

Keep distance and sometimes quite sounds better
 
kweli hii ni critical! kumbe haya mambo yana siri hivi? naungana na Dr. mkoloni wa Wagosi wa kaya kwenye wimbo wao wa humjui mkeo/mumeo. majirani wanamjua zaidi. msitetee sana huu usiri wajameni maana yaweza kuwa yanawakuta bila kujua. shauri yenu!
 
Mhh mapenzi ya watu kuyaingilia, utapatwa na aibu, baadae wewe ndio utaonekana mbaya, kumbe ulitaka kusaidia. Ni kunyamaza tuu , atajua tuu au tayari anajua ila anangangania tuu. Kuna wanawake wale wanaogopa kuwa peke yao
 
Mhh mapenzi ya watu kuyaingilia, utapatwa na aibu, baadae wewe ndio utaonekana mbaya, kumbe ulitaka kusaidia. Ni kunyamaza tuu , atajua tuu au tayari anajua ila anangangania tuu. Kuna wanawake wale wanaogopa kuwa peke yao

katika hali ya kawaida wala nisingeweza kusema chochote, labda angekuwa dada yangu anafanyiwa hivyo si mtu baki tu. ila ninachosema ni kuwa mkeo/mumeo wanamjua wengine kuliko wewe. hii mbaya sana
 
Back
Top Bottom