Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Ukiona kitu kama hicho mwonye rafiki yako lakini usiwe ndio kimbelembele kuchonganisha.Utakuja kuonekana mbaya mwisho wa siku.Haya mambo ni magumu sana ndugu yangu!
Ukiona kitu kama hicho mwonye rafiki yako lakini usiwe ndio kimbelembele kuchonganisha.Utakuja kuonekana mbaya mwisho wa siku.Haya mambo ni magumu sana ndugu yangu!
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, mapenzi ya watu yaguse kwa fimbo ya mbali kama unavyogusa nyoka.
Unatakiwa kuumpa full warning. Huwezi kuwa rafiki yake kama hamsaidiani katika ishu kama hizi. Unatakiwa uumpe warning kwamba aache na amuheshimu mwenzi wake ama sivyo itabidi urafiki wenu ukome au hata kumwambia huyu mwenzi wake. Huu ndo msaada unaoweza kumpa. Akichukia basi, akikubali fresh. Lakini wewe usikubali kuwa mfungwa wa matendo yake. Hadi wewe kuja kuandika hapa, ina maana hupendezwi na tabia yake hata kidogo. So do something about it. Urafiki hauna maana yeyote kama mnashirikiana katika maovu.
sijajua kama mada kama hii imeshawekwa humu au la. kama bado ni hivi, una rafiki yako, naye ana mwenza, mnapokwa nae anakuwa anawasiliana na mahawara zake kwa uhuru sana hata kukutana nao mkiwa nae. then mnaenda hadi kwa rafiki yako unamuona shemeji yako na kusikitika tu kwa yale anayofanya rafiki yako. hapo ni hatua gani ya kuchukua? kubaki kimya tu au kutafuta namna ya kumweleza shemeji? (hili liko kwa jinsia zote)
Mziwanda ulishajiita mtu wa watu na sasa unameremeta ukiongeza sifa ya umbeya/uchonganishi mji si utakushinda?
Mhh mapenzi ya watu kuyaingilia, utapatwa na aibu, baadae wewe ndio utaonekana mbaya, kumbe ulitaka kusaidia. Ni kunyamaza tuu , atajua tuu au tayari anajua ila anangangania tuu. Kuna wanawake wale wanaogopa kuwa peke yao