dah! hapo demu anamchora mwenzie tu! atakapojua mwenye mmewe itabidi wahalalishe tu awe mke mwenzie
mie huwa ckubaligi kauli ya watu kusema"kaibiwa/naibiwa mume"..kwani huyu mnaemwita mwizi alikukuta nae road akakukwapua huyu mume wako na kukimbia nae? wote watu wazima wanafanya vitendo kwa maamuzi yao...
nyamayao umesema mtu mzima na akili zake kabisa ule mchezo ndo unafanywa kwa wizi lakini wamekubaliana halafu binadamu tulivyo wajanja sasa unajua mke wangu ye ndo ananingangania,oh shetani na story zinazofanana ivo wakati akitoa miguu mlangoni ana spidi mia kwa huyo anayesema kamganda izi story huwa sizielewagi kabisa hapa huyu baba anaelewa analofanya na huwezi amini waeza kuta wamekubaliana kabisa hiyo nyumba ndigo iwe karibu na mkewe ili asishtukie mchezo mi nasemaga laiti kama tungekuwa kama vioo mtu akisimama anakuona unayosema,kuwaza na matendo hamna mtu angekuwa mzima wote tungekuwa na vilema vya kudumu au hatupo
Halafu ku-entertain friends to a certain level its really not good maana matatizo mengine huwa tunajitafutia sisi wenyewe
Hey jamani wait a sec...hebu katibu tuwekee rules za ISC tuone kama hili pia ni kosa
hilo ndio kubwa zaidi, halafu wanawake tuna moyo kweli, mie nicngeweza, yaani tupo pa1 na mume wa mtu na mkewe pembeni najidai kama frnd wa kawaida mtu na mkewe wana chart kwa tabasamu, wanabadilishana mawazo hivi na vile, baadae huyo huyo mume anakuja kwangu na namuelewa kweli?...jamani jamani huwa sielewi kabisa Chauro.
kuna mmke anaiba mme wa mtu na kamganda mwenye mme kwa urafiki wa kinafiki kiasi kwamba mwenye mke kamuamini mno mpaka inatia huzuni,na hawa wote ni watz hivi rohoni unajisikiaje kwa ushetani huu,umepora mpaka haki ya msingi ya mtu kufurahia mume kutimiza miaka 50 kwa kumrubuni huyu mbaba kwa vipesa na kwenda nae bongo.
apo nani anajiskia nin?
wote wawili uyo aliyeibwa na aliyeiba wana makosa
km upo tyt na mkeo kuna delila yeyote anaweza kukurubun?
uyo mbababa ndo ana matatizo yan badala atulie na mkewe ye anagawa nje tu .....kuna wanawake wengine wamezaliwa specially kwa kudate na waume za watu sasa akimpata km uyu anayeweza kumwendesha km tineja basi anafurahia sana
yan ukizubaa ata mipango ya hm kwako atakuwa anakupangia afu wewe unaenda hm kwako kifua mbele wife nimeona tuchinje bata jogoo tumuuze njiwa tuwapeperushe mende tuwafuge ...sasa apo ole wake mke ainue mdomo ...jaman mume wangu lakin...wewe moto utakavyowaka apo...........!!!!!! hatari
ebu tulien na ndoa zenu uko alllllllahhhh!!!!!!!!
apo nani anajiskia nin?
wote wawili uyo aliyeibwa na aliyeiba wana makosa
km upo tyt na mkeo kuna delila yeyote anaweza kukurubun?
uyo mbababa ndo ana matatizo yan badala atulie na mkewe ye anagawa nje tu .....kuna wanawake wengine wamezaliwa specially kwa kudate na waume za watu sasa akimpata km uyu anayeweza kumwendesha km tineja basi anafurahia sana
yan ukizubaa ata mipango ya hm kwako atakuwa anakupangia afu wewe unaenda hm kwako kifua mbele wife nimeona tuchinje bata jogoo tumuuze njiwa tuwapeperushe mende tuwafuge ...sasa apo ole wake mke ainue mdomo ...jaman mume wangu lakin...wewe moto utakavyowaka apo...........!!!!!! hatari
ebu tulien na ndoa zenu uko alllllllahhhh!!!!!!!!
Huyo ni rafiki mwema anamsaidia mwenzie shughuli:smile-big:
nyinyi waume wa leo mmemkosea nini shetan?mbona anawaandamana sana?afu effect zake mnawaliza wake zenu?
ebu mshwwwwwwwwwwwwwwwwwinde na mlegee ebu fungen zipu zenu
roho wa bwana awaongoze jaman
mmh jaman...
nyinyi waume wa leo mmemkosea nini shetan?mbona anawaandamana sana?afu effect zake mnawaliza wake zenu?
ebu mshwwwwwwwwwwwwwwwwwinde na mlegee ebu fungen zipu zenu
roho wa bwana awaongoze jaman
mmh jaman...
ni dalili za mwisho wa dunia hizi ( sodoma na gomora) imerijea tenanyie wamama wa cku hizi mmemkosea nini mungu hata waume zenu kuchukuliwa na mashoga zenu? ( nasikia na ma-h/g pia wanavinjari kwa raha zao). Mrudieni mungu ili mpate kufaidi mema ya dunia na shetani ashindwe na alegee.