Huwa na kwama hapa maranyingi ninapo taka kulipia Huduma Mbalimbali katika Internet

Huwa na kwama hapa maranyingi ninapo taka kulipia Huduma Mbalimbali katika Internet

Bull Striker

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2018
Posts
456
Reaction score
1,003
Wakuu zangu huwa nataka kufanya Huduma Mbalimbali katika mtandao lakini huwa na kwama hapa...

Pia Napata shaka labda hata kuibiwa kimtandao...Wakuu naombeni Msaada.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-06-14-34-38-325_com.spotify.music.jpg
    Screenshot_2024-09-06-14-34-38-325_com.spotify.music.jpg
    333.6 KB · Views: 5
Baadhi ya website napenda Sana Huduma zao...pale Napo taka kulipia huwa na Ishia hapo wajamen... naombeni muongozo...
Sio Mimi Tu mwenye hii changamoto..
 
Okay hapo inahitaji ujaza taarifa za kadi yako (visa/mastercard) sio vyema kutumia ya benk ambayo hutumia na kuhifadhi pesa mara kwa mara

Hivyo suluhisho bora na ninalotumia ni voda visa card piga *150*00# kisha changua lipa kwa M-pesa (4) kisha 7 voda visa kisha tengeneza kadi, alafu weka pesa kwenye kadi (rudia mchakato na baada ya kuchagua 7 then weka pesa) baadaya ya hapo pesa itahamishwa kutoka M-pesa mpaka kwemye card last rudia mchakato na chagua taarifa za kadi screenshot ili ubaki nazo kisha jaza hizo taarifa hapo kama namba ya akaunti, security code (huaga ni tarakimu 3 ) expire date (hua ni muda wa mwisho wa uhai wa kadi yako (virtual card))

Malizia kwa kununua
 
Okay hapo inahitaji ujaza taarifa za kadi yako (visa/mastercard) sio vyema kutumia ya benk ambayo hutumia na kuhifadhi pesa mara kwa mara

Hivyo suluhisho bora na ninalotumia ni voda visa card piga *150*00# kisha changua lipa kwa M-pesa (4) kisha 7 voda visa kisha tengeneza kadi, alafu weka pesa kwenye kadi (rudia mchakato na baada ya kuchagua 7 then weka pesa) baadaya ya hapo pesa itahamishwa kutoka M-pesa mpaka kwemye card last rudia mchakato na chagua taarifa za kadi screenshot ili ubaki nazo kisha jaza hizo taarifa hapo kama namba ya akaunti, security code (huaga ni tarakimu 3 ) expire date (hua ni muda wa mwisho wa uhai wa kadi yako (virtual card))

Malizia kwa kununua
Asantee ndugu yangu vipi Airtel hawana hii huduma
 
Okay hapo inahitaji ujaza taarifa za kadi yako (visa/mastercard) sio vyema kutumia ya benk ambayo hutumia na kuhifadhi pesa mara kwa mara

Hivyo suluhisho bora na ninalotumia ni voda visa card piga *150*00# kisha changua lipa kwa M-pesa (4) kisha 7 voda visa kisha tengeneza kadi, alafu weka pesa kwenye kadi (rudia mchakato na baada ya kuchagua 7 then weka pesa) baadaya ya hapo pesa itahamishwa kutoka M-pesa mpaka kwemye card last rudia mchakato na chagua taarifa za kadi screenshot ili ubaki nazo kisha jaza hizo taarifa hapo kama namba ya akaunti, security code (huaga ni tarakimu 3 ) expire date (hua ni muda wa mwisho wa uhai wa kadi yako (virtual card))

Malizia kwa kununua
Naomba kujua... ivii ukisha unganisha kadi yako ya mtandao (vodacom mastercard tigo, airtel...) na PayPal huwa kuna makato yanayokatwa pale unapofanya manunuzi mtandaoni.. kama wanavyokataga au huwa kuna uafadhali? Andazi
 
Naomba kujua... ivii ukisha unganisha kadi yako ya mtandao (vodacom mastercard tigo, airtel...) na PayPal huwa kuna makato yanayokatwa pale unapofanya manunuzi mtandaoni.. kama wanavyokataga au huwa kuna uafadhali? Andazi
Ukiwa na kadi unaweza tumia moja kwa moja bila paypal ila kuna fee ila kuna fee kidogo sio kubwa
 
Asantee ndugu yangu vipi Airtel hawana hii huduma
Wanayo ila shida ambayo imefanya nisitumie airtel mastercard ni kuwa ipo direct connected to AirtelMoney hivyo hata ikitokea ukanunua kwenye tovuti ya kitapeli wanaweka kata pesa moja kwa moja kwenye Airtel Money yako kama zipo

Tofauti na Voda ambapo kiasi ulichohamishia kwenye kadi ndio kinaweza kukatwa
 
Wanayo ila shida ambayo imefanya nisitumie airtel mastercard ni kuwa ipo direct connected to AirtelMoney hivyo hata ikitokea ukanunua kwenye tovuti ya kitapeli wanaweka kata pesa moja kwa moja kwenye Airtel Money yako kama zipo

Tofauti na Voda ambapo kiasi ulichohamishia kwenye kadi ndio kinaweza kukatwa
Asantee kaka
 
Hapo ni kuweka CVV na mwezi na mwaka wa kuexpire kadi.

Kama una NMB waweza enda tawi lolote wakutengenezee Kadi kwaajili ya online pekee.
Hii kadi haipo connected na akaunt yako, so inabidi uiweke pesa. Na ukitaka kutoa pesa unatoa kwenye atm kama kawaida
 
Moja ya ushauri murua
Hapo ni kuweka CVV na mwezi na mwaka wa kuexpire kadi.

Kama una NMB waweza enda tawi lolote wakutengenezee Kadi kwaajili ya online pekee.
Hii kadi haipo connected na akaunt yako, so inabidi uiweke pesa. Na ukitaka kutoa pesa unatoa kwenye atm kama kawaida
 
Back
Top Bottom