Huwa najisikiaga furaha na amani sana!!

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
2,073
Reaction score
2,026
Wakuu salamu kwenu,mara paaap mshahara umeingia, nachukua kiasi kadhaa cha pesa kinachotosha kuhudumia familia kwa chakula kwa takribani siku 30 nampatia wife anunue mazagazaga ya nyumbani halafu mimi nabakia huru na mwepesii nikiwaangalia tu wanangu wakiruka kamba na kupishana msalani!!Huwa nakuwaga na amani sana baada kutoa hyo huduma kwa familia yangu!!Vipi wanaume wenzangu nanyi huwa mnajisikia kama mimi au wengine mnaona km usumbufu au ni mzigo!
NB: Uzi huu ni wa wanaume wenye majukumu ya kifamilia kama wewe ni mvulana pita mbali!!
 
Wacha nipite mbali bachela sihusiki.


Ila nijambo LA furaha na Aman sana , upokeapo mshahara nachakwanza kuikumbuka Mke wako na watoto , unajua nn ??... tumbo lamtu likishiba uwa anajisikia Aman na Furaha !!.
 
Hongera sana kwa kujali familia yako,,, hata avatar yako inasupport huu Uzi
 
mfano Mke watoto wawil na msichana wa kazi..

unaweka angalau kuanzia ngapi kutosha mwezi mzima?

kula na mambo yote madogo madogo
 
Unajisikia Amani kufanya jukumu lako mkuu? Hiyo ni sehemu ya jukumu lako. Unatakiwa ujisikie Raha na Amani ukienda extra mile ukafanya kitu Cha ziada mkuu kwa familia yako. Kuwanunulia chakula sio extra mile.
 
Bachelor mie nikiwaza hili jukumu natamani nisiowe kabisa maana siyo jinsi vyuma vinakaza
 
Wakiruka kamba na kupishana msalani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…