Huwa napima UKIMWI kupitia kwa wapenzi wangu tu

fasi dwasi

R I P
Joined
Sep 23, 2018
Posts
105
Reaction score
108
Daah asee kati ya vitu ambavyo nimekosa kuwa na ujasiri navyo bac ni kupima ngoma (UKIMWI).

Me bhna kila siku afya yangu huwa naipima kupitia mademu zangu. Kww bahati mbaya mara nyingi nmekuwa nikikutana na mademu wanaopenda kucheck afya zao mara kwa mara. Mwanzoni nilikuwa nawamind kwann wapime mara kwa mara bhna khan wanatafuta nin ila mwsho wa siku baada ya kushindwa kuwazuia nawaacha tu isipokuwa huwa hawanishirikishi tu wakienda kupima huwa wananiletea cheti cha ANGAZA bac

Kuna vichaka kma 5 hv nilipita miezi mitatu iliyopta daah nilikuwa nahofu balaaa! yan kuna muda nilikataga tamaa nikasema me haukosi hapa sahz

Daah sasa juzi demu wangu mpya si alienda kupima af majibu ni fresh. Basi na mimi nimepima kupitia yeye nilifurahi, ilikuwa ni mwendo wa kuku kwa mrijaaa

Najua mpo wengi tu ambao huwa mnapima afya zenu kuptia mademu zenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi huwa najiuliza kati ya kupima na kutokupima kipi bora? Jibu huwa napata 'bora kutopima'!! basi naendelea na maisha kama kawa!


ingawa sasa tatizo linakuja pale ambapo mafua na kikohozi kikakuganda sababu ya hali ya hewa au minyoo akli yote huhamia kwenye "labda nmenasa ngoma nini"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…