johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hili jambo huwa linanishangaza kidogo kwa sababu CCM ni nguli wa Muziki wa Jazz, Kwaya na Ngoma za Kienyeji
Zamani huwezi kuwa mjanja wa Mjini kama hutimbi Mbowe Hotel baadaye Billicanas
Watoto wa Mjini ndio waliendaga Amana Social Hall kwa akina Msondo
Kuna tofauti Kati ya Wajanja wa Mjini na Watoto wa Mjini mfano Mbowe na Pedeshee Amos 😄
Ahsanteni sana
Zamani huwezi kuwa mjanja wa Mjini kama hutimbi Mbowe Hotel baadaye Billicanas
Watoto wa Mjini ndio waliendaga Amana Social Hall kwa akina Msondo
Kuna tofauti Kati ya Wajanja wa Mjini na Watoto wa Mjini mfano Mbowe na Pedeshee Amos 😄
Ahsanteni sana