Huwa navutiwa sana na mistari ya nyuma ya magoti

Huwa navutiwa sana na mistari ya nyuma ya magoti

shamzugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2021
Posts
535
Reaction score
1,115
Salaam,

Niende moja kwa moja kwenye uzi. Kila mwanaume au mwanamke kuna vitu anavutiwa navyo kwa jinsia tofauti.

Kwa mwanamke huwa nikiona tu mistari ya nyuma ya goti nakuwa hoi, lakini pia akiwa mweusi na ile mistari huwa inaonekana vizuri na hapo ndipo utamu unapokua kolea.

Ila pia wanawake wenye maziwa makubwa huwa navutiwa nao sana, na hili nililiona tangu nilivyoanza kubalekhe, nilipenda na hadi leo napenda sana wanawake wenye maziwa makubwa.

Sambamba na hilo, walionizidi umri, yaani kuanzia 40 and above huwa nawapenda mno, mi nipo around 30.

1623303737434.png

 
Kwa kisukuma yanaitwa MAJIMURU
Kwa kijita yanaitwa AMAJIMURU
Kwa kikerewe/kikara yanaitwa AMAZIMORWA.

Nilikuwa napenda kuyaongelea tukiwa kwenye vikao vya kukatika umeme bwenini hadi wakaniita MZEE WA MAJIMURU
 
Salaam, niende moja kwa moja kwenye uzi. Kila mwanaume au mwanamke kuna vitu anavutiwa navyo kwa jinsia tofauti.

Kwa mwanamke huwa nikiona tuu mistari ya nyuma ya goti nakuwa hoi, lakini pia akiwa mweusi na ile mistari huwa inaonekana vizuri na hapo ndipo utamu unapokua kolea, ila pia wanawake wenye maziwa makubwa huwa navutiwa nao sana, na hili nililiona tangu nilivyoanza
Picha basi ili tuelewe vizuri bandiko lako.
 
Back
Top Bottom