Huwa tunasema Kenya ina viongozi wanaofikiri kila Jambo ni fursa lakini kwa hili mmefeli

Huwa tunasema Kenya ina viongozi wanaofikiri kila Jambo ni fursa lakini kwa hili mmefeli

mzalendoalltz

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
828
Reaction score
709
Hawa viongozi wana akili kweli wanaona jinsi China inavyohangaika na hili gonjwa halafu wao kwanza ndio wanafanya misifa ati wanasema wasafiri wote wako salama.

Mkenya gani aliyenda kuwapima huko China na kuiletea taarifa serikali? Akili za panzi
Wafukuzwe kazi maana wana akili ndogo sana hawa

Covid-19 ikiivamia hata hiyo pesa na misifa yenu hamtaiona



 
Back
Top Bottom