Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

Huwa una kismati na wanawake wa aina gani?

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,610
Nina jamaa yangu yeye ana bahati sana na wanawake wanaoitwa Marry, yaani akikutana na mwanamke wa jina hilo huwa hatumii nguvu wala nini.

Wakati huo huo, yupo mwingine yeye akikutana na mwanamke mwenye makalio huwa hawakosi. Yaani hii kitu ipo sana, unakuta kuna jamaa yeye huwa anakuwa na wanawake wenye makalio makubwa tu mpaka unajiuliza.

Hivi huyu jamaa mademu wake zake huwa anawatoa wapi? Au jamaa yeye huwa anapata wanawake wafanyakazi tu si kwa kuwatafuta kinguvu ila ina happen tu automatic.

Hata wanawake wapo ambao yeye kila mwanaume anayemfuata kumtongoza anakuwa mwalimu tu mwanajeshi tu. Unakuta mwanamke kaachana na askari magereza baada ya muda anatembea tena na askari magereza.

Wewe je una kismati na mademu gani?

Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
 
Mimi nina kismati na wanawake wa jf wananipenda hao kama hela
 
Mie nna kismat na mawaziri, Yani Mpaka najiuliza ivi ni kazi yangu nnayo fanya au hashuo Lao tuu, tena ukiwambia nimeolewa au Wakuone Na mimba Ndio zawadi usiseme...
 
Mimi sikufichi nina kismati na wanawake wanaovaa Hijabu,.... Mimi ni mkristu lakini tangia niko O-level kuna demu alinizimia alikuwa anavaa hijabu mi nikampotezea sikukaa muda mrefu nikazama kwenye mahusiano na Demu mwingine nae full Hijabu Dah. . . . .

Sasa achana na hao one day nilikuwa natokea zangu Home naingia town (nilitumia daladala siku hiyo) yaani ile kushuka tu mitaa ya mnazi-mmoja kukatiza katiza mitaa ya town mara mtoto huyu hapa Mweupeeeeee wa kiarabu alafu kavaa hijabu....... nikashangaa baada ya kuzungumza nae kwa mda mfupi tu akanizimikia vibaya mpaka nikaogopa!

Wana JF thats z true kismati kipo lol!
 
Mie nna kismat na mawaziri, Yani Mpaka najiuliza ivi ni kazi yangu nnayo fanya au hashuo Lao tuu, tena ukiwambia nimeolewa au Wakuone Na mimba Ndio zawadi usiseme...
 
Mm nina kismati na wanawake wa kihaya,nakuwa sijui baada ya muda kuuliza ananiambia Mhaya. Nina mmoja kwa sasa ananipenda ila lazima uwe nazo.
 
Back
Top Bottom