Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Unanifanya nipitie koment zangu zooote nione alonipa likes .Kwangu inatosha kabisa kuwasilisha hisia zangu (yaweza kuwa natania pia). Hata mtoa hoja nimekupa pia like japo sijui ni hisia zipi naziwasilisha kwako.
Hahaaaaa. Lolwatoa like maarufu bila sababu
Shunie
Mwifwa
bbae
Sesten Zakazaka
love b
mumu
Ushimen
Raynavero
Mzigua90
Ambiele Kiviele
Hajar
Maxence Melo
yna2
Demiss
wapo wengi siwezi kutaja wote hapa nimesahau wengine wao wanatoa tu haijalishi pumba wala point
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uchoyo si mzuri. Mengineyo ninyime, hadi like! Hapana. [emoji124] [emoji124]
Kuna nnsubiri madame aje ndo uanze kazi
Hahahaaaaa. Nzuri hiiiNitatoa likes kwa wote ila siyo wale jamaa wa CCM, mashabiki wa Simba na wote wanaoongelea masuala ya dini/ imani kwa kuponda.
Mkuu kula like yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewemmmh kwani hivyo vingine unavyonyimia ni vipi??
Jaman me sina tabu msikilize haja ya moyo wake umpatie labda namnyimaga hukuwe waweza msaidiaHuna mpango mzuri na mimi . unataka madam anianzishie timbwili nifukuzwe jf?!? Mi natoa tu like
Sawa sawa hakikisha unapewa na usipopewa tuandamaneni kweli dada uchoyo haufai...me nipe tu hadi hayo mengine kama yapo usininyime
kula like dada, we toa tuuuuHahaaaaa. Lol
Mdogo wangu mie dada yako kwa kila rafiki yangu, Swahiba wangu kaka yangu, ndugu yangu wa humu jf basi siwezi pita bila kumpa likes kwa chochote atakachoandika.
Na wengine ni wale wanavyoandika vitu ambavyo kwa upande wangu naona ni vitu vya msingi na vyenye kujenga.
Kwani Sh ngapi kutoa likes. Natoa tu kwa kweli.
anataka aanze kazi yakeKuna nn
mimi babeWewe
likes tuJaman me sina tabu msikilize haja ya moyo wake umpatie labda namnyimaga hukuwe waweza msaidia
anataka aanze kazi yake
Sawa sawa hakikisha unapewa na usipopewa tuandamane
Madame jinsi unavyokwamisha kazi......[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Kuna nn
honey kwema lakini??Sawa sawa hakikisha unapewa na usipopewa tuandamane
Hujawahi kunipa like kabisa wewe... haya tu wewe.
nipe basiUchoyo si mzuri. Mengineyo ninyime, hadi like! Hapana. [emoji124] [emoji124]
sina haja ya kujualikes tu
Nishazira hapaMadame jinsi unavyokwamisha kazi......[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]