Huwa wanamchokoza wenyewe

Huwa wanamchokoza wenyewe

Mr.Wenger

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2014
Posts
2,569
Reaction score
6,165
1479981921719.jpg
 
Umaarufu wa wasanii uchwara wengi unategemea kuongelewa..... Huyu nae hana jipya mil 500 zimeishia katikati ya mapaja
Nachompendea jamaa mondi akichokozwa tu hawezi jizua anaharisha tu pasipo kujua faida na madhara yake....
jamaa hajui tu kama akiamua kukaa kimya wengi sana wasingepata umaarufu wa kuzungumzwa mitandaoni
 
Back
Top Bottom