Huwa wanamchokoza wenyewe

Umaarufu wa wasanii uchwara wengi unategemea kuongelewa..... Huyu nae hana jipya mil 500 zimeishia katikati ya mapaja
Nachompendea jamaa mondi akichokozwa tu hawezi jizua anaharisha tu pasipo kujua faida na madhara yake....
jamaa hajui tu kama akiamua kukaa kimya wengi sana wasingepata umaarufu wa kuzungumzwa mitandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…