Vukani, si pombe kuna ma baa medi wameumbika kisawasawa, mwanaume mkamilifu lazima uhamie kunywea kwenye ile baa na si bia tu unaweza kukuta njemba linakunywa maji au soda tucheki mzigo - tofauti yao hawana elimu tu na uelewa wao ni mdogo - sasa ukiongea nao unaenjoy 'cause they do know so many things to urgue. nyie mliosoma mnasumbua sumbua sana - hawa wanajua ku-care and they know how to treat a man.
Message kwa wanawake mlioolewa- please do your duty otherwise ni kwishinei - jamaa akienda akirudi matairi yote hayana upepo.
Vukani nitafute nikupeleke nikuonyeshe baadhi tu uhakikishe mwenyewe!