Huwapendi Freemason ila unapenda vitu vyao

Papa kashabariki mfumuane Tu marina kanisani

Tafuta bwana wa kukuoa kanisa limebariki wanaume muolewe na wanaume wenzenu
Usijisahaulishe kuwa kuna polisi wa Zanzibar alirekodiwa akifumuliwa.

Alikuwa mvaa kobasi yule. Hatuchekani katika hili.

Mmetengeneza clip kuonesha papa ameidhinisha ushoga. Haitasaidia kusema uongo. Ukweli ni kuwa dunia nzima, dini zote ni wahanga wa kufumuliwa marinda.

Kazaneni kufuga majini, maana bila majini huwezi kuwa shekhe.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Umesema Wao ndio walio anzisha Dini, tarehe, siku za kuabudu NK, alafu Tena unasema unabaki na Bible ili ikuokoe.
Ni wazi wewe ni mwanakondoo asubuhi malishoni, jioni tunakamua maziwa, siku ya sikukuu tuna kunjinja
 
Umeokoteza stories harafu umetuletea hapa, wewe huwajui freemasons. Toa chai yako hapa imeshapoa
 
Inaelekea kiboko yao ni masikini wa kutupa wanaoishi Tz, wasiojua lolote linaloendelea, zaidi ya umasikini na ujinga uliotamalaki ambao pia hawaujui!
Kitu kinachotenda kinyume na Mungu, kumpinga na kuhakikisha mafundisho yake hayafuatwi, utakiitaje zaidi ya ibilisi au shetani?!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…