Uja uzito wa miezi nane halafu mwenye ujauzito hajahisi chochote? ..yaani hata huyo kiumbe tumboni alikuwa hajigeuzi geuzi? Yaani mwenye mimba hajahisi chochote?..daah!.. amakweli nchi hii ina watu wa kila aina!..miezi nane?
Sasa usipomtaja si unataka wengine wafe! Kama kweli umetaka watu wawe na tahadhari na ikiwa hili jambo ni kweli lilitokea unaogopa nini kumtaja! Kesho atakufa ndugu yako mikononi mwako