Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Unataka tujadili halafu unatuaga usiku mwema tena mkuu?Tujadili pamoja
Usiku mwema.
Aisee hadi nyege zimenipanda ghafla.Wadau hamjamboni nyote?
Naamini mmekuwa na siku njema ya Sabato
Wapo watu wanadharau wauzaju wa Mbogamboga na matunda magengeni wakiwaona ni watu wa hadhi ya chini na wasiokuwa nadhifu
Hata hivyo hali.ni tofauti Kwa Wenzetu kwani Biashara hiyo inalipa Kiuchumi na wauzaju wake wapo nadhifu.kabisa
Tujadili pamoja
Usiku mwema.
View attachment 2837841
Kwa hiyo ukaangaliaaaaaa...ukaona anauza matunda?Matunda ya Eden?π€Wadau hamjamboni nyote?
Naamini mmekuwa na siku njema ya Sabato
Wapo watu wanadharau wauzaju wa Mbogamboga na matunda magengeni wakiwaona ni watu wa hadhi ya chini na wasiokuwa nadhifu
Hata hivyo hali.ni tofauti Kwa Wenzetu kwani Biashara hiyo inalipa Kiuchumi na wauzaju wake wapo nadhifu.kabisa
Tujadili pamoja
Usiku mwema.
View attachment 2837841
Hawa kina wema wa huko kaka usihadaikeWadau hamjamboni nyote?
Naamini mmekuwa na siku njema ya Sabato
Wapo watu wanadharau wauzaju wa Mbogamboga na matunda magengeni wakiwaona ni watu wa hadhi ya chini na wasiokuwa nadhifu
Hata hivyo hali.ni tofauti Kwa Wenzetu kwani Biashara hiyo inalipa Kiuchumi na wauzaju wake wapo nadhifu.kabisa
Tujadili pamoja
Usiku mwema.
View attachment 2837841
Ukilipia tu anakuuliza kama utamenyewa ule au amenye ndiyo ukule!Hawa kina wema wa huko kaka usihadaike
Mkuu kwani hayo Matunda huyaoni?Kwa hiyo ukaangaliaaaaaa...ukaona anauza matunda?Matunda ya Eden?π€
Hiyo picha ni halisinilijua utaonyesha picha yenye uhalisia kumbe nihuu upupu wako.
ok huyΓ³ dada anapiga picha akaringishie insta tuu mwenye genge kakaapembeni anasuburi amalize aendelee nakazi yake
Nimeya-look vizuri.Tena yamewekwa jirani na "u-house"!Mkuu kwani hayo Matunda huyaoni?
Shelishelinchigani hio
[emoji23][emoji23][emoji23]aiseeeAisee hadi nyege zimenipanda ghafla.
Huyu mdada/mmama hapo hauzi mbogambaga! Wewe ni zuzu usiyeelewa dunia inaishije! Hapo anauza bizaaa nyingine! Hapo yuko sokoni!Wadau hamjamboni nyote?
Naamini mmekuwa na siku njema ya Sabato
Wapo watu wanadharau wauzaju wa Mbogamboga na matunda magengeni wakiwaona ni watu wa hadhi ya chini na wasiokuwa nadhifu
Hata hivyo hali.ni tofauti Kwa Wenzetu kwani Biashara hiyo inalipa Kiuchumi na wauzaju wake wapo nadhifu.kabisa
Tujadili pamoja
Usiku mwema.
View attachment 2837841
Baada ya kugundua ni AI nyege zimeisha.[emoji23][emoji23][emoji23]aiseee
Wewe ni mtu mzima acha kuandika upuuzi kama huu kwenye majukwaa.Aisee hadi nyege zimenipanda ghafla.
Mtu mzima ndio maana ninapandwa na nyege ningekuwa mgonjwa nisingepata hisia.Wewe ni mtu mzima acha kuandika upuuzi kama huu kwenye majukwaa.
Ila kwa kweli muuza mboga ni chuma ππ
Huyu ni mmoja wa wale wasimamizi wa magenge ya nyanya na mbogamboga nyingine ya KM mstaafu Chongolo tuliyoambiwa yametapakaa Dar nzima?π€£Wadau hamjamboni nyote?
Naamini mmekuwa na siku njema ya Sabato
Wapo watu wanadharau wauzaju wa Mbogamboga na matunda magengeni wakiwaona ni watu wa hadhi ya chini na wasiokuwa nadhifu
Hata hivyo hali.ni tofauti Kwa Wenzetu kwani Biashara hiyo inalipa Kiuchumi na wauzaju wake wapo nadhifu.kabisa
Tujadili pamoja
Usiku mwema.
View attachment 2837841