Huwezi amini Wauzaji wa Mbogamboga kwa Wenzetu wapo nadhifu sana na Biashara hiyo inalipa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Naamini mmekuwa na siku njema ya Sabato

Wapo watu wanadharau wauzaju wa Mbogamboga na matunda magengeni wakiwaona ni watu wa hadhi ya chini na wasiokuwa nadhifu

Hata hivyo hali.ni tofauti Kwa Wenzetu kwani Biashara hiyo inalipa Kiuchumi na wauzaju wake wapo nadhifu.kabisa

Tujadili pamoja

Usiku mwema.

 
Aisee hadi nyege zimenipanda ghafla.
 
Kwa hiyo ukaangaliaaaaaa...ukaona anauza matunda?Matunda ya Eden?πŸ€”
 
Hawa kina wema wa huko kaka usihadaike
 
Huyo ni mrembo anauza matunda na mboga mboga ,na ndicho kilicho kuchunganya mtoa post lakini kinachotakiwa katika biashara hii ni hygienic na ubora wa bidhaa na sio kuuza sura
 
Huyu mdada/mmama hapo hauzi mbogambaga! Wewe ni zuzu usiyeelewa dunia inaishije! Hapo anauza bizaaa nyingine! Hapo yuko sokoni!
 
Huyu ni mmoja wa wale wasimamizi wa magenge ya nyanya na mbogamboga nyingine ya KM mstaafu Chongolo tuliyoambiwa yametapakaa Dar nzima?🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…