Huwezi Kujiita timu barani Africa kama hujawai kukumbwa na adhabu ya kuzuiwa mashabiki kuingia uwanjani

Huwezi Kujiita timu barani Africa kama hujawai kukumbwa na adhabu ya kuzuiwa mashabiki kuingia uwanjani

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
huwezi ukajiita timu kubwa wewe shabiki na timu barani Afrika alafu hujawahi kufugiwa kuingiza mashabiki uwanjani hata kwa mechi moja timu nyingi kubwa Africa imeshawahi kukubwa na adhabu hii kwaiyo Mwanasimba Jipige kifuani jiambie mimi ni kidume Siwezi kupigwa Nyumbani


Mwanaume hauwezi kupigwa Nyumbani kwenu lazima ujitetee kwa kurudisha mashambulizi kwa kipigo kizito
IMG-20250115-WA0008.jpg
 
Nyie ndo wale mnasema unajiita malaya na haujawahi kufiswa ili tuu kutetea upumbavu wenu
 
Watavunjaje viti tuwatazame tu,heko kwa waliolipiza kuvunjwa viti kwa kichapo.viganja vikikunjwa huitwa ngumi.
 
huwezi ukajiita timu kubwa wewe shabiki na timu barani Afrika alafu hujawahi kufugiwa kuingiza mashabiki uwanjani hata kwa mechi moja timu nyingi kubwa Africa imeshawahi kukubwa na adhabu hii kwaiyo Mwanasimba Jipige kifuani jiambie mimi ni kidume Siwezi kupigwa Nyumbani


Mwanaume hauwezi kupigwa Nyumbani kwenu lazima ujitetee kwa kurudisha mashambulizi kwa kipigo kizitoView attachment 3202543
Ukichaa a.k.a udunduka a.k.a wehu kwenye kiwango cha SGR..!!
 
Kujisifia ujinga, ndo wale wale wa mwanamke lazima uwe na mafiga matatu.
 
Back
Top Bottom