Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Ukichaa a.k.a udunduka a.k.a wehu kwenye kiwango cha SGR..!!huwezi ukajiita timu kubwa wewe shabiki na timu barani Afrika alafu hujawahi kufugiwa kuingiza mashabiki uwanjani hata kwa mechi moja timu nyingi kubwa Africa imeshawahi kukubwa na adhabu hii kwaiyo Mwanasimba Jipige kifuani jiambie mimi ni kidume Siwezi kupigwa Nyumbani
Mwanaume hauwezi kupigwa Nyumbani kwenu lazima ujitetee kwa kurudisha mashambulizi kwa kipigo kizitoView attachment 3202543
MCTMakolo Culture Troupe