Huwezi kusahau tukio gani la kihuzunisha katika maisha yako?

Huwezi kusahau tukio gani la kihuzunisha katika maisha yako?

Expert Judgement

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2019
Posts
442
Reaction score
730
Mimi binafsi siwezi kusahau tukio linalonitia simanzi hata leo ninapoandika ujumbe huu

Siwezi kusahau nilivowashindisha njaa waombolezaji kwenye msiba wamama (walikula baadae kwakuchelewa) msiba hauna taarifa pia kuuguza kwamuda mrefu kupelekea kuishiwa akiba ndicho kilichonikuta mm watu wamekuja wengine wamesafari kutoka mbali asubuhi chai ya kuunga unga, mchana pakawa hapasomeki mimi naumiza kichwa watoto wawaombolezaji nao wamecharuka kulia njaa, mpaka saa KUMI na moja jioni ndio nasolve masuala ya menu. Msiba ukaenda siku tatu hivi ila Kuna ndugu mmoja mngese Sana tumepanga kununu sanduku yeye anasema Hilo sanduku la Bei ndogo Mimi naongeza pesa tupate sanduku zuri zaidi ikiwa tulilokua tumelipigia budget halina shida yoyote..

Moment hiyo huwainanipa Sana uchungu na morali yakupambana kutafuta pesa kwa kila mbinu


Je wewe umepitia tukio GANI la KIHUZUNISHA?
 
Dahhhh....
Umenikumbusha mbali sana mkuu.
Naomba muhusika anisamehe sana, na ninatubu dhambi hii mbele za Mungu kwani haikua dhamira yangu na aliye niponza pia Mungu amsamehe sana.
 
Nilikua nadate na binti fulani wa kiarabu. Anashabikia Liverpool nashabikia Arsenal, msimu uliopita Liva akaenda fainali uefa Arsenal tukaenda fainali europa.

By that time binti alisema no sex just romance na blowjob. Nikiwa nabembeleza gemu akaniambia hataki bikra itoke, baada ya arguments tukakubaliana Liva asipochukua uefa na Arsenal akichukua europa kutakua na sex ila ni anal sex as kulinda bikra.

Walichonifanyia Arsenal, wakapigwa goli nne na Liva akachukua kombe kule uefa na uhusiano na mdada ukafa.
 
Nilikua nadate na binti fulani wa kiarabu. Anashabikia Liverpool nashabikia Arsenal, msimu uliopita Liva akaenda fainali uefa Arsenal tukaenda fainali europa.

By that time binti alisema no sex just romance na blowjob. Nikiwa nabembeleza gemu akaniambia hataki bikra itoke, baada ya arguments tukakubaliana Liva asipochukua uefa na Arsenal akichukua europa kutakua na sex ila ni anal sex as kulinda bikra.

Walichonifanyia Arsenal, wakapigwa goli nne na Liva akachukua kombe kule uefa na uhusiano na mdada ukafa.
Ukakosa bara na pwani[emoji16][emoji23][emoji23]
 
Dahhhh....
Umenikumbusha mbali sana mkuu.
Naomba muhusika anisamehe sana, na ninatubu dhambi hii mbele za Mungu kwani haikua dhamira yangu na aliye niponza pia Mungu amsamehe sana.
Wewe tukuandalie la Bei gani
 
Nilikosana na ndugu zangu wote kisa mwanamke niliyempenda,nikafunga naye ndoa ikavunjika baada ya miezi miwili,nikaenda zangu kusoma (specialty ) nilivyorudi nikapata misukosuko kazini ya hatari!Badala ya kufanya kazi niliyoisomea nikaundiwa zengwe .

Sitasahau ,sitosamehe
 
Nilikosana na ndugu zangu wote kisa mwanamke niliyempenda,nikafunga naye ndoa ikavunjika baada ya miezi miwili,nikaenda zangu kusoma (specialty ) nilivyorudi nikapata misukosuko kazini ya hatari!Badala ya kufanya kazi niliyoisomea nikaundiwa zengwe .

Sitasahau ,sitosamehe
Kamanawaona ndugu wanalivokuwa wanasema "situlikuambia huyo mwanamke hakufai"
 
Pole
Nilikosana na ndugu zangu wote kisa mwanamke niliyempenda,nikafunga naye ndoa ikavunjika baada ya miezi miwili,nikaenda zangu kusoma (specialty ) nilivyorudi nikapata misukosuko kazini ya hatari!Badala ya kufanya kazi niliyoisomea nikaundiwa zengwe .

Sitasahau ,sitosamehe
 
Back
Top Bottom