brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ametoa kauli yake juu ya mvutano unaoendelea kati ya Wema Sepetu na team Hamisa Mobetto juu ya jina la TZ Sweetheart. Mkuu huyo alikuwa mmmoja kati ya wageni waliohudhuria Birthday Gala ya mwanadada huyo wa filamu mwenye mvuto nchini Tanzania