Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimekuona Wewe ndie mji.nga hapo uliposema nyuma ya Dr Leakey.Nmeshtushwa sana na mti mmoja kilaza anasema eti shaffi dauda anaweza akamfikia eddo kumwembe. Nlimtizama nikamwambia kilimanyege kinaweza fikia urefu kilimanjaro.
Nyie mnaona shaffi elimu yake tu nayo ndo hivyo tia maji tia maji.uwezo wake wa kujieleza ni batamaji.
Eddo kumwembe anabaki kuwa ni mwanamichezo na mchambuzi bora kabisa nyuma ya dr leakey.huyu.hana mbishi. Shaffi dauda apambanishwe na salome majogo maana hata ali mayayi ni mzuri.
Mrs. Edo kumwembe at work...Nmeshtushwa sana na mti mmoja kilaza anasema eti shaffi dauda anaweza akamfikia eddo kumwembe. Nlimtizama nikamwambia kilimanyege kinaweza fikia urefu kilimanjaro.
Nyie mnaona shaffi elimu yake tu nayo ndo hivyo tia maji tia maji.uwezo wake wa kujieleza ni batamaji.
Eddo kumwembe anabaki kuwa ni mwanamichezo na mchambuzi bora kabisa nyuma ya dr leakey.huyu.hana mbishi. Shaffi dauda apambanishwe na salome majogo maana hata ali mayayi ni mzuri.
Asante sana. Mjadala ufungwe.Nimekuona Wewe ndie mji.nga hapo uliposema nyuma ya Dr Leakey.
Huyo Leakey lini amewahi chambua mpira!??
Au mkipewa matukio na historia za nyuma ndio mnaona MTU ni mchambuzi!!
Bongo mchambuzi ni mwl kashasha, Ali mayay na kuna dogo yupo azam. Hao kwa ninaowafahamu.
Mrs. Edo kumwembe at work...
Alafu kumbe nawe boya tu, shabiki wa golf unaongelea uchambuzi wa soka.
Dk leakey huyu mzee wa historia ndio mchambuzi bora? Sema yeye ni football historian mzuri ila sio mchambizi. Hujui mpira wala uchambuzi mkuu..
Ukiwa mchambuzi wa michezo, alafu ukawa mnazi wa timu fulani, tayari unakuwa umepoteza sifa ya kuwa mchambuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazi katika uchambuzi wa soka hauepukiki
Hata ulaya wanazi wapo na uchambuzi wao huenda vizuri,, mfano ni mnazi wa liver Jimy Callagher na mnazi wa man u Garry nevile. Hawa huwezi sikia wakizisema timu zao vibaya na bado ni wachambuzi wazuri
Kibongongo Shafii hana mpinzani, kinachowasumbua wabongo wengi ni wivu wa kike na majungu kwa mtu aliyefanikiwa
Shafii kafanikiwa sana kupitia uchambuzi hapa nchini, majungu kwake hayakosekani
Duuh! Wabongo mna safari ndefu sana kujua mpira na maana ya neno uchambuz, unaweza kuwa mwandishi wa habar za michezo au soka, lakini usiwe mchambuzi, Shafii ni mwandishi tu, na ana kazi ya kucopy lila kitu toka kwenye website za soka za ulaya, mchambuzi bongo ni Mwal. Kashasha, huyo shafii dauda ni mwandishi wa habar tu, anacopy na kuripot alichoona, kusikia au kusoma sehem
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui mpira mkuu, jikite na kazi ya kuangalia rangi ikikauka ukutani.Shaffi dauda's side chick fighting for her dick. Shabiki wa netball unazungumzia football sababu tu huwa unamwona basha wako kwenye TV