John Pombe Magufuli ni rais ambaye amesifiwa sana ndani na nje ya nchi kutokana na sera zake za Tanzania kwanza, hapa kazi tu, kupiga vita rushwa, kubana matumizi, kujitegemea, kuziba mianya ya ufujaji pesa, na kuwekeza kwenye miundombinu ya viwanja, barabara, viwanja vya ndege, stand za mabasi, umeme, maji, madaraja, etc.
Kwa upande mwingine, JPM ni rais anayetukanwa sana hususani na watu ambao wanahisi hakuwatendea haki wakati wa utawala wake. Watu hao ni pamoja na wala rushwa, wazembe kazini, wezi wa rasilimali za nchi, majambazi, panya road, vyeti feki, wafanyakazi hewa, wafanya biashara za maji (kwenye magari), wasambazaji wa majenereta. Watu hawa hadi kesho watakuwa na mtazamo hasi, makasiriko hadi siku zao za mwisho.
Niwaombe tu wamtue JPM mioyoni mwao. Kusamehe kupo, basi haina budi kumsamehe pale ambapo unaona hamkutendewa sawa na matakwa yenu, ila alifanya kwa niaba ya Mama Tanzania.
Kwa upande mwingine, JPM ni rais anayetukanwa sana hususani na watu ambao wanahisi hakuwatendea haki wakati wa utawala wake. Watu hao ni pamoja na wala rushwa, wazembe kazini, wezi wa rasilimali za nchi, majambazi, panya road, vyeti feki, wafanyakazi hewa, wafanya biashara za maji (kwenye magari), wasambazaji wa majenereta. Watu hawa hadi kesho watakuwa na mtazamo hasi, makasiriko hadi siku zao za mwisho.
Niwaombe tu wamtue JPM mioyoni mwao. Kusamehe kupo, basi haina budi kumsamehe pale ambapo unaona hamkutendewa sawa na matakwa yenu, ila alifanya kwa niaba ya Mama Tanzania.