Indume Yene Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 2,962 Reaction score 721 Jan 15, 2011 #1 View attachment 20514Jamani nimekutana na hii picha samuwea nikaona niitundike hapa ili tujue kulikoni. Angalia huyo jamaa nyuma ya Shein, alikuwa anashika nini vile?
View attachment 20514Jamani nimekutana na hii picha samuwea nikaona niitundike hapa ili tujue kulikoni. Angalia huyo jamaa nyuma ya Shein, alikuwa anashika nini vile?
bucho JF-Expert Member Joined Jul 13, 2010 Posts 5,149 Reaction score 3,209 Jan 15, 2011 #2 itakuwa ni bomu la machozi hilo . teh teh teh
eddiom Member Joined Oct 4, 2010 Posts 57 Reaction score 15 Jan 15, 2011 #3 Anarudisha sim katika mkoba wake
coscated JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 3,264 Reaction score 2,676 Jan 15, 2011 #4 nadhani ilikuwa ni missed call ya nyumba ndogo
M mangoa Member Joined Jun 2, 2010 Posts 31 Reaction score 4 Jan 15, 2011 #5 Huyu jamaa alikuwa anarudisha simu anaitwa oscar a .k.a chuma ndo mlinzi mkuu wa rais wa smz na ndie aliyepata ajali na mh sokoine.
Huyu jamaa alikuwa anarudisha simu anaitwa oscar a .k.a chuma ndo mlinzi mkuu wa rais wa smz na ndie aliyepata ajali na mh sokoine.
C Chumvi1 Senior Member Joined Oct 10, 2010 Posts 137 Reaction score 8 Jan 16, 2011 #6 mangoa said: Huyu jamaa alikuwa anarudisha simu anaitwa oscar a .k.a chuma ndo mlinzi mkuu wa rais wa smz na ndie aliyepata ajali na mh sokoine. Click to expand... uko deep kweli hii jamii forum
mangoa said: Huyu jamaa alikuwa anarudisha simu anaitwa oscar a .k.a chuma ndo mlinzi mkuu wa rais wa smz na ndie aliyepata ajali na mh sokoine. Click to expand... uko deep kweli hii jamii forum
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 Jan 17, 2011 #7 Simu kazini ndo maana wanapigwa makofi viongozi wenu:smile-big: