Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu

Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu. Mtoto anaongea kiswahili pure na anasema kwao Mbeya but haijulikani ni Mbeya sehemu gani tumeombwa ku-share kwenye magroup kama kuna uwezekano wa kumpata mhusika wa mtoto.
aa4abfc4-b0e3-4398-80ed-3d46d10799c0.jpg
 
Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu. Mtoto anaongea kiswahili pure na anasema kwao Mbeya but haijulikani ni Mbeya sehemu gani tumeombwa ku-share kwenye magroup kama kuna uwezekano wa kumpata mhusika wa mtoto.View attachment 3048319
Hao askari wa uhamiaji kwanini wadimbane huyo mmalawi aseme amemtoa sehemu gani, swala la kuongea kiswahili pure si hoja kwa wapo watanzania wanaoongea kichina pure. Huu ujinga wa kudhani kuwa Msumbiji, Malawi, Comoro, Kenya, Zambia, Uganda ukiongea kiswahili pure utakuwa umekiiba tuondekane nao kwani hata huko Mbeya wapo watanzania wengi hawakijui kiswahili kabisa.
 
Hao askari wa uhamiaji kwanini wadimbane huyo mmalawi aseme amemtoa sehemu gani, swala la kuongea kiswahili pure si hoja kwa wapo watanzania wanaoongea kichina pure. Huu ujinga wa kudhani kuwa Msumbiji, Malawi, Comoro, Kenya, Zambia, Uganda ukiongea kiswahili pure utakuwa umekiiba tuondekane nao kwani hata huko Mbeya wapo watanzania wengi hawakijui kiswahili kabisa.
Unataka kusema unaweza kukuta mganda anaongea kiswahili kilichonyooka
 
Back
Top Bottom