Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
HahaaaaaaHuyo Mtoto kila mwaka anaokotwa na askari huyo huyo..
Hao askari wa uhamiaji kwanini wadimbane huyo mmalawi aseme amemtoa sehemu gani, swala la kuongea kiswahili pure si hoja kwa wapo watanzania wanaoongea kichina pure. Huu ujinga wa kudhani kuwa Msumbiji, Malawi, Comoro, Kenya, Zambia, Uganda ukiongea kiswahili pure utakuwa umekiiba tuondekane nao kwani hata huko Mbeya wapo watanzania wengi hawakijui kiswahili kabisa.Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu. Mtoto anaongea kiswahili pure na anasema kwao Mbeya but haijulikani ni Mbeya sehemu gani tumeombwa ku-share kwenye magroup kama kuna uwezekano wa kumpata mhusika wa mtoto.View attachment 3048319
Unataka kusema unaweza kukuta mganda anaongea kiswahili kilichonyookaHao askari wa uhamiaji kwanini wadimbane huyo mmalawi aseme amemtoa sehemu gani, swala la kuongea kiswahili pure si hoja kwa wapo watanzania wanaoongea kichina pure. Huu ujinga wa kudhani kuwa Msumbiji, Malawi, Comoro, Kenya, Zambia, Uganda ukiongea kiswahili pure utakuwa umekiiba tuondekane nao kwani hata huko Mbeya wapo watanzania wengi hawakijui kiswahili kabisa.
Huyumtoto kila siku anapotea?Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu. Mtoto anaongea kiswahili pure na anasema kwao Mbeya but haijulikani ni Mbeya sehemu gani tumeombwa ku-share kwenye magroup kama kuna uwezekano wa kumpata mhusika wa mtoto.View attachment 3048319