Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa noelgiotz

Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa noelgiotz

PITCOL

Senior Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
128
Reaction score
66
rachel_dangwa_29714369_769073913295710_930151747215687680_n.jpg


Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa @noelgiotz wa tz wote saport yako ndio itamfanya azidi KUSONGA mbere zaidi ku like sana kazi zake na kupost sana kwenye pejizenu wapendwa wangu hapo utakuwa unampa nguvu✨ zaidi ya kufanya kazi zake anawapenda nawapenda pia

Source: Instagram
 
View attachment 730790

Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa @noelgiotz wa tz wote saport yako ndio itamfanya azidi KUSONGA mbere zaidi ku like sana kazi zake na kupost sana kwenye pejizenu wapendwa wangu hapo utakuwa unampa nguvu[emoji92] zaidi ya kufanya kazi zake anawapenda nawapenda pia

Source: Instagram
Kusonga mbere siyo!
 
Hivi ua
namitindo ndo kuvaa vikaptula vya kubana, na vishati ukikohoa kinachanika chote. Hivyo vimini na kapochi ka kike, sijui vinavaliwa wapi na mwanaume. Na kama lengo la mtindo ndo kuvaa hivyo vimini mtaishia huko huko kwenye Camera. Sidhani kama lengo ku introduce new fashion/style.
 
Kwahiyo hilo vazi nfio unalivalia wapi!?
 
Back
Top Bottom