Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa noelgiotz

PITCOL

Senior Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
128
Reaction score
66


Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa @noelgiotz wa tz wote saport yako ndio itamfanya azidi KUSONGA mbere zaidi ku like sana kazi zake na kupost sana kwenye pejizenu wapendwa wangu hapo utakuwa unampa nguvu✨ zaidi ya kufanya kazi zake anawapenda nawapenda pia

Source: Instagram
 
Kusonga mbere siyo!
 
Hivi ua
namitindo ndo kuvaa vikaptula vya kubana, na vishati ukikohoa kinachanika chote. Hivyo vimini na kapochi ka kike, sijui vinavaliwa wapi na mwanaume. Na kama lengo la mtindo ndo kuvaa hivyo vimini mtaishia huko huko kwenye Camera. Sidhani kama lengo ku introduce new fashion/style.
 
Kwahiyo hilo vazi nfio unalivalia wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…