Hivi kama msichana unajua kabisa nina mahusiano na rafiki yako halafu nikaja kukutongoza halafu still ukanikubalia well well utaanza kunilaumu mimi nini?? You know exactly natoka na rafiki yako na bado ukakubali at the same time una uwezo wa kusema no vile vile
Btw kua EASY GOING haina maana ya mtu ni mrahisi kutongozeka bali mtu ni mwepesi/mrahisi kudeal with...hata mimi ni easy going...EASY fits the part though!tatizo ni hiyo hali ya kuwa EASY GOING WOMAN....!YANI VERY EASY GOING HADI INABOA!mtu anakubali kabla hajatongozwa
Unaniuliza utadhani mimi ndie...mtafute huyo mhusika nadhani ndo wenye majibu...i dont!!Ila kama hutojali embu niambie huyo anaenza kumtongoza rafiki wa mchumba wake hana chakulaumiwa ehh?!Kaazi kweli kweli!Hivi kama msichana unajua kabisa nina mahusiano na rafiki yako halafu nikaja kukutongoza halafu still ukanikubalia well well utaanza kunilaumu mimi nini?? You know exactly natoka na rafiki yako na bado ukakubali at the same time una uwezo wa kusema no vile vile
Pamoja na ubaradhuli wa huyo mwanaume kwanini na huyu msichana akubali ili hali anajua fika kwamba rafiki yake naye ana mahusiano na huyo mwanaumeSasa hapo nani mchafu Finest, kwangu mie mwanaume ndo baradhuli mkubwa unatongozaje rafiki wa mchumba wako.
He/She should have know betterUnaniuliza utadhani mimi ndie...mtafute huyo mhusika nadhani ndo wenye majibu...i don‘t!!Ila kama hutojali embu niambie huyo anaenza kumtongoza rafiki wa mchumba wake hana chakulaumiwa ehh?!Kaazi kweli kweli!
Hahahaha!!!1Una hasira wewe,pole hata hivyo.Mambo mengine vipi?
Sasa wadada tufanyaje tukimzimia mtu af ye haoni na kumwambia unakuwa huwezi? its happen sometime, ujana maji ya motoninyi wadada mnajirahsisha mno wakat mwingine
Pamoja na ubaradhuli wa huyo mwanaume kwanini na huyu msichana akubali ili hali anajua fika kwamba rafiki yake naye ana mahusiano na huyo mwanaume
He/She should have know better
Hivi Dena upoThe Finest nimekusoma sana hapo hivi wewe una kakichaa leo au mwezi umeandama?? Huyo Mwanaume ni mshenzi mkubwa sana amejicomit kwa mwanamke na pete juu bado anatongoza??? Huyo msichana amemkubali kwa sababu kuna kitu anachotaka wala si mapenzi hata kidogo. Narudia kusema huyo Mwanaume ni mshenzi sana hana adabu kabisa eboo!!!!
Anyways just kiddin usije ukaogopa bure lol!!!Ama kweli not everything that looks precious is precious,ya dunia mengi.
Hivi Dena upo
Ahaaa ahaaa ahaa lishindwe kabisa at least liwe povu la TuskerHa ha ha ha ha unanijulia kweli siku hizi maana povu lilishaanza kutoka limerudi looooooooote haya bana
Ahaaa ahaaa ahaa lishindwe kabisa at least liwe povu la Tusker
Aisee kama kawa pare pare J pa ukweli watu wale waleHa ha ha kweli umeanza kunisahau Valuu bana ndio poa habari yake J.............mikutano inaendelea bado au niaje
Aisee kama kawa pare pare J pa ukweli watu wale wale
Ahaaaa ahaaaa ahaaaa haya zimefika lol!!!!Halafu ukimuona As................mwambie kanikosea sana namtafuta nikimkamata atanitambua..............