huyu amepata C 1na D 2, aende wapi?

SENGATI

Senior Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
127
Reaction score
26
kuna dogo langu amepata C 1 ya History na D 2 za Geography na Kiswahili... anaweza kuendelea na masomo gani? msaada tafadhali!
 
ushauri kidogo muwe mnasema kabisa o-level au a-level maana siunaona mwenyewe matokeo yametoka kwa mpigo
nilirudi kwenye maaDA a-level hiyo ni HGK= CDD ....ambayo ni division 2.11 huyo kwa kozi za ARTS anapata kozi nyingi tu ukizingatia uwingi wa vyuo kwa sasa .. ila kama unawaza kuhusu MKOPO inabidi ucheki HELSB/LOAN BOARD uangalie vigezo wanavyotumia mwaka huu kutoa mkopo ..ila kwa kozi anaweza soma
sociology,PSPA, BA EDUCATION, BAGEN, BED , LAW, NK....
 

kama ni o-level ataenda wapi?
 
Kama Sengat aafuate ushauri wake atafika mbal kufel iv siyo kwamba ndo amefel maisha no huwa kuna plan b
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…