Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
- Thread starter
-
- #61
Kimbweka, nilikuwa nasubiri mpaka muda muafaka kwani kusubiri si kupo?Subira yako ndo iliyokuponza ngojangoja waonekana zoba! Akufukuzaye hakwambii toka utajionea mambo yanvyoenda.......... timuka mbio utapata mwingine ! Je were u or are u using condoms?
ningekuwa mimi ndo huyo jamaa wala nisingemfanyia vitimbwi.kama amekataa kuvua mimi nakubali tu!WAKINA ELIZA NDO WATAKUWA CHAKULA CHANGU😀
Kaka ina mek sensi maana tulikuwa na malengo yetu, sasa kwanini anikimbie si aseme ukweli tu nisipokula tundi siendelei na relationship.Sikubishii, ila nataka dada anithibitishie kama mtarimbo wa jamaa haujalala doro! Miaka miwili kwa dume rijali si nchezo! Afu linatinga saa sita usiku kwa mshiki eti kupiga stori tu? Ina meki sensi kweli hapo?
duh!!mpwaaz,
huyu dada ako ndo alichemka!inaonekana jamaa amechoka kusubiri!dada ako alipaswa kumvulia jamaa apige mashine
Kaka ina mek sensi maana tulikuwa na malengo yetu, sasa kwanini anikimbie si aseme ukweli tu nisipokula tundi siendelei na relationship.
Nina bf wangu ambaye tuko kwenye uhusiano kwa muda sasa, all was very well at the beginning lakini lately naona mabadiliko ambayo yanapelekea mie kupata wasi wasi kwamba he is not serious anymore, ukimuliza what is wrong majibu yanakuwa am very busy, kazi nyingi, shuguli za hapa na pale, inapelekea sometimes inapita mwezi hatuonani na anadai ni vijimambo 2 vinatufanya tuwe apart, mind you haya yote hayakuwepo mwanzoni, basi hivi majuzi nikamtolea uvivu nikamwambia just tell me if its over ili ni move on with my life, lakini akaniambia he still loves me, and am imagining things, hivi hii inawezekana kweli ukaribu ni zero, caring ni sifuri. Naombeni msaada wa ushauri wanajf maana naona things are getting worst.
Kaka ina mek sensi maana tulikuwa na malengo yetu, sasa kwanini anikimbie si aseme ukweli tu nisipokula tundi siendelei na relationship.
Duu,a super non-sense i ever heard before,jaribu fikiria hizo thread zinasomwa na kina nani then ndio uzipost,coz sometimes your threads can show us who you really are,kuwa makini unapokuwa na watu makini!!mpwaaz,
huyu dada ako ndo alichemka!inaonekana jamaa amechoka kusubiri!dada ako alipaswa kumvulia jamaa apige mashine
Lily my dear sister, delicate investment katika maisha ni FEELINGS, zikifilisika zinaumiza sana kwa sababu the pain is within....
Ushauri wangu
1. Mahusiano yetu hatumshirikishi Mungu, Je mnaombaga na kufunga ili Mungu aonyeshe kama huyo ndiyo aliye wako na kama sio wako ambadili awe wako?
2. Pia siku zote wa kuweza kutatua tofauti zenu ni nyie wawili na Mungu kati yenu.
3. Cheki usiwe ww pia una wkness ambazo zina mpush shemeji bila wewe kujua na yeye kusema.
Duu,a super non-sense i ever heard before,jaribu fikiria hizo thread zinasomwa na kina nani then ndio uzipost,coz sometimes your threads can show us who you really are,kuwa makini unapokuwa na watu makini!!
Niko siriazi, Geoff
Thanks Nguli kwa ushauri mzuri.Lily my dear sister, delicate investment katika maisha ni FEELINGS, zikifilisika zinaumiza sana kwa sababu the pain is within....
Ushauri wangu
1. Mahusiano yetu hatumshirikishi Mungu, Je mnaombaga na kufunga ili Mungu aonyeshe kama huyo ndiyo aliye wako na kama sio wako ambadili awe wako?
2. Pia siku zote wa kuweza kutatua tofauti zenu ni nyie wawili na Mungu kati yenu.
3. Cheki usiwe ww pia una wkness ambazo zina mpush shemeji bila wewe kujua na yeye kusema.
Thanks Nguli kwa ushauri mzuri.
Kaka swali gumu maana sijamuona na yeye hakuwahi kuniona nitajuaje?Sasa jibu swali: Mtarimbo wake umelala doro au laa? Mbona unasepa hili swali MUHIMU?
unatakiwa ukamwone WITH IMMEDIATE EFFECT!Kaka swali gumu maana sijamuona na yeye hakuwahi kuniona nitajuaje?
Kaka swali gumu maana sijamuona na yeye hakuwahi kuniona nitajuaje?
unatakiwa ukamwone WITH IMMEDIATE EFFECT!
HII FORMULA imepitwa na muda!.....Ulikuwa unasubiria ndoa au?
Kaka hajatoa ticket bado nitakazania maombi na nitasimama na msimamo wangu wa mwanzo, maana malengo tulipanga sisi wawili iweje tena.Utaufanyia kazi? Kwa huyohuyo au kwa mwingine?
HII FORMULA imepitwa na muda!.....